Acha uvivu soma hii uone

Acha uvivu soma hii uone

Communist ussr kulikuwapo makanisa miaka ya 70?
 
Mjomba kwenye miaka ya 70 alipata safari ya masomo nchini Urusi,kipindi hicho alikuwa na miaka 25 hivi,.akiwa kule alikuwa kila jpili anakwenda kwenye makanisa kuabudu mungu wake lkn alikuwa anajikuta kijana yupo peke yake kanisa zima,warusi wakawa wanamshangaa sio kwa sababu ya rangi yake bali kwa umri wake wakawa wanamuuliza kama anatatizo lolote,.ujue ni nadra sana kumkuta kijana makanisani kwenye miaka ile sijui kwa sasa,yeye alikuwa anawajibu kuwa hana tatizo lolote,.

Siku moja wazee wa kanisa ikawabidi wamuwekee kikao ili wamuhoji,akaitwa jmosi moja usharikani na kumuhoji sana baada ya kuridhika kuwa hana tatizo bali ni utamaduni ambao huku kwetu ndo tumeuzoea,.wazee wale wakamuambia kuwa,.kawaida wao kule huenda kanisani kutubu kwa madhambi waliyoyafanya kipindi cha ujana wakati wanatafuta,.

Wakamuambia kuwa kijana katika kutafuta unaweza kukutana na mambo mengi sana ya hatari ambayo wengine wanadiriki kuua bila kukusudia ilimradi kupata,kupokea rushwa,kuiba,kudhurumu kwa mtindo wa viji NGO'S,.wakamuambia tafuta hela kwanza kwa staili yoyote ile then njoo utubu kwa kutoa sadaka uzeeni,.

Kanewi,

tuteremshe mzee, tunaona unatuburuta kweli hapa.

Katika 1970s USSR kuliwa na kile kiloitwa USSR anti-religious capaign, alikeuwa mkuu wake ni Yuri Andropov, alokuwa chairman wa KGB. katika kampeni hii kanisa lilionekana kama ndio tishio kubwa la siasa ya ukominist, waliokuwa wakiendesha makanisa walionekana kama maadui wa nchi.

hakuna alothubutu kwenda kanisani sababu jawabu lake kutoka KGB ni kazi nzito huko Siberia, baridi huko hufiska -50 digriz.

kwahivo stori ya mjomba wako inashindwa kuingia vichwani mwetu
 
"UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA WEKA UJUMBE KWENYE VITABU"
Tatizo Hapa Sio Kusoma Vitabu..Tatizo Ni Implementation Ya Tunavyosoma Kwenye Vitabu.And That Is A Problem Of Most People.Hata Wenye Biashara Zenye Mafanikio Wana Guarantee Ya Maximum Perfomance Pale Wakisoma Vitabu Na Kutekeleza Walivyovisoma.

like,ukwel kabsa
 
"NEVER ACCEPT THIS,It is yours' life~kila mtu anafikra zake tofauti
na mbinu za utafutaji katika maisha.
kamwe usiishi kwa kuiga maisha ya watu fulani, bt think about yourself"
 
"NEVER ACCEPT THIS,It is yours' life~kila mtu anafikra zake tofauti
na mbinu za utafutaji katika maisha.
kamwe usiishi kwa kuiga maisha ya watu fulani, bt think about yourself"
 
Maandiko yanasema mtumikie Mungu ukiwa bado kijana ungali na nguvu. Je,hao wazee walikuwa wanatumia biblia gani? N'na wasiwasi nao kuwa hilo kanisa halikuwa la kikristo.
 
Mungu anasema "na asiye fanya kazi na asile". Kumwabudu mungu ni kwa njia yoyote na haina haja ya kuita bendi na vipaza sauti au kupiga yowe ili usikike kwa mungu. Fanya kazi sana na ukipata free si mbaya hata kimoyo moyo mahala popote wakati wowote kusali na kumtukuza.
Ukiendekeza mikesha na makongamano badala ya kufanya kazi utaishia kulala njaa na mwishowe utamkufuru hata huyo mungu wako unayemuabudu.
 
Back
Top Bottom