Acha uvivu soma hii uone

Communist ussr kulikuwapo makanisa miaka ya 70?
 

Kanewi,

tuteremshe mzee, tunaona unatuburuta kweli hapa.

Katika 1970s USSR kuliwa na kile kiloitwa USSR anti-religious capaign, alikeuwa mkuu wake ni Yuri Andropov, alokuwa chairman wa KGB. katika kampeni hii kanisa lilionekana kama ndio tishio kubwa la siasa ya ukominist, waliokuwa wakiendesha makanisa walionekana kama maadui wa nchi.

hakuna alothubutu kwenda kanisani sababu jawabu lake kutoka KGB ni kazi nzito huko Siberia, baridi huko hufiska -50 digriz.

kwahivo stori ya mjomba wako inashindwa kuingia vichwani mwetu
 

like,ukwel kabsa
 
"NEVER ACCEPT THIS,It is yours' life~kila mtu anafikra zake tofauti
na mbinu za utafutaji katika maisha.
kamwe usiishi kwa kuiga maisha ya watu fulani, bt think about yourself"
 
"NEVER ACCEPT THIS,It is yours' life~kila mtu anafikra zake tofauti
na mbinu za utafutaji katika maisha.
kamwe usiishi kwa kuiga maisha ya watu fulani, bt think about yourself"
 
Maandiko yanasema mtumikie Mungu ukiwa bado kijana ungali na nguvu. Je,hao wazee walikuwa wanatumia biblia gani? N'na wasiwasi nao kuwa hilo kanisa halikuwa la kikristo.
 
Mungu anasema "na asiye fanya kazi na asile". Kumwabudu mungu ni kwa njia yoyote na haina haja ya kuita bendi na vipaza sauti au kupiga yowe ili usikike kwa mungu. Fanya kazi sana na ukipata free si mbaya hata kimoyo moyo mahala popote wakati wowote kusali na kumtukuza.
Ukiendekeza mikesha na makongamano badala ya kufanya kazi utaishia kulala njaa na mwishowe utamkufuru hata huyo mungu wako unayemuabudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…