Acha uzinzi, unajimaliza wewe mwenyewe

Acha uzinzi, unajimaliza wewe mwenyewe

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kumekucha!

Baada ya kuwapopoa wanawake ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).

Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze. Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.

Ni tendo lisilokata kiu.
 
Kumekucha!
Baada ya kuwapopoa wadada ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze.
Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.
Ni tendo lisilokata kiu.
Kweli wewe ni kiboko ya Jiwe
 
Kumekucha!
Baada ya kuwapopoa wadada ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze.
Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.
Ni tendo lisilokata kiu.
Auni mjumbe wa mashariki🤔
 
Uzinzi? Mkizungumzia uzinzi muwe mnaleta kwanza maana yake ili mueleweke
 
Kumekucha!

Baada ya kuwapopoa wanawake ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).

Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze. Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.

Ni tendo lisilokata kiu.
We mdomo umekuletea nn tangu umeanza kuchamba?
 
Back
Top Bottom