Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kuanzia Wawili 😂Hivi ukiwa na mademu wangapi ndio unakuwa mzinzi?
Kweli wewe ni kiboko ya JiweKumekucha!
Baada ya kuwapopoa wadada ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze.
Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.
Ni tendo lisilokata kiu.
To yeye kila nikizoom hilo jicho haifunguki. Nina kazi naloSawasawa mkuu🙏🏽
Aaghh wapi! Maybe kumiKuanzia Wawili 😂
Niwe na mmoja bila mwingine wa kumshindanisha?Kuanzia Wawili 😂
Hapana. Acha kuhalalisha uzinziAaghh wapi! Maybe kumi
Ndiyo.Niwe na mmoja bila mwingine wa kumshindanisha?
Isije ikawa mnaongea kifasihi hapa #mtoaji#mtumiajiTo yeye kila nikizoom hilo jicho haifunguki. Nina kazi nalo
Auni mjumbe wa mashariki🤔Kumekucha!
Baada ya kuwapopoa wadada ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze.
Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.
Ni tendo lisilokata kiu.
Kufanya ngono isiyohalali.yaani kufanya ngono na make/ mume asiye wako.Uzinzi? Mkizungumzia uzinzi muwe mnaleta kwanza maana yake ili mueleweke
We mdomo umekuletea nn tangu umeanza kuchamba?Kumekucha!
Baada ya kuwapopoa wanawake ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu Dunia ianze. Uzinzi ni dhambi, hautoshelezi.
Ni tendo lisilokata kiu.