Achali/pilipili ya mbilimbi

BADILI TABIA

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
32,767
Reaction score
23,198
Habari zenu humu wapishi

Naombeni namna ya kupika mbilimbili za pilipili.... ziwe tamu na zisioze upesi.
(Ukiacha hii ya nyanya pilipili na kuanika juani daily)

Nahitaji techniques mpya..... haswa ziweze kukaa muda mrefu

Wenye mauzoefu mtiririke plz


Mwisho::::
Hivi kuna soko la mbilimbi mbichi wapi?
Maan si kwa kuzaa huku aisee)
 
Chukua mbilimbi zako zikate kate vipande vidogo vidogo,
Chukua kitunguu,nyaya, (pilipili, karoti na hoho... kama utapenda)
unaviweka vyote kwenye sufuria la mafuta ya moto unakaanga kama unavyounga mchuzi vikikaangika vyoooote rost hilo epua acha lipoe..... weka kwenye kontena safi tayari kwa kuliwa.
 
Asante
 
Kwa Dar ni soko gani mbilimbi zinapatikana kwa wingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…