Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Oct 1, 2021 #1 Propanda ya kupinga Umeme.
Smartkahn JF-Expert Member Joined Jun 22, 2020 Posts 594 Reaction score 1,061 Oct 1, 2021 #2 Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele?
Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele?
Smartkahn JF-Expert Member Joined Jun 22, 2020 Posts 594 Reaction score 1,061 Oct 1, 2021 #3 Kwahiyo kipindi iko watu walikua wanapinga umeme πππ Basi serikali ijitahidi kutoa elimu yakutosha kabla hawajaanzisha jambo. Ila jambo liwe la uhakika na sio janjajanja.
Kwahiyo kipindi iko watu walikua wanapinga umeme πππ Basi serikali ijitahidi kutoa elimu yakutosha kabla hawajaanzisha jambo. Ila jambo liwe la uhakika na sio janjajanja.
I Interlacustrine E JF-Expert Member Joined Jun 3, 2020 Posts 3,397 Reaction score 6,015 Oct 1, 2021 #4 Smartkahn said: Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele? Click to expand... Ujumbe mzuri na umejibiwa kwa wakati sahihi....[emoji120] Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Smartkahn said: Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele? Click to expand... Ujumbe mzuri na umejibiwa kwa wakati sahihi....[emoji120] Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Oct 1, 2021 Thread starter #5 Smartkahn said: Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele? Click to expand... Ebola imedhibitiwa ndani ya eneo husika, yaani Congo na ndio maana haijasumbua dunia. Ila kwa Corona hali ni tofauti maana wachina walificha sana taarifa kiasi kwamba ugonjwa ukasambaa dunia nzima. Laiti kama wachina wangekuwa wazi maana yake COVID-19 ingeishia Wuhan tu huko.
Smartkahn said: Mambo kama haya yapo sawa... Ila sio kwenye chanjo picha inaanzia kwenye corona yenyewe ni mauzauza tupu. Mbona ebora ni deadly kuliko, kwanini corona tu ipewe kipaumbele? Click to expand... Ebola imedhibitiwa ndani ya eneo husika, yaani Congo na ndio maana haijasumbua dunia. Ila kwa Corona hali ni tofauti maana wachina walificha sana taarifa kiasi kwamba ugonjwa ukasambaa dunia nzima. Laiti kama wachina wangekuwa wazi maana yake COVID-19 ingeishia Wuhan tu huko.
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Oct 1, 2021 #6 Wanasema 5G ndiyo imeleta Corona.