Achana na historia yetu nyuma tunaamini yanga ina kila sababu ya kushinda ubingwa wa VPL

Achana na historia yetu nyuma tunaamini yanga ina kila sababu ya kushinda ubingwa wa VPL

Kwa kubebwa mnapokutana na simba ndo Sifa yenu,,

Mechi zenu zote mkipambana na Mnyama lazima Marefa wenu wawasaidie kwa kuwapunguzia mchezaji wetu mmoja,,

Ktk hizo sifa hakuna hata mmoja inayowapa nyie Vyura kuwa Mabingwa,,

Timu lenu limejaa Wazee watupu,, Shikamoo Jzz band,,

Huyo mkata Umeme hata spaner hajui kushika.
Mbona nyie hamubebwi
mtabebwa lini???
 
Back
Top Bottom