Achana na Mwanachuo!

Hahahah kwa wanachuo ni kawaida hio tabia wako nayo. Lazma apate boya wa kumchachua na kumformat akili kiingia chuo tu. Unajua chuo kuna aina flani ya maisha ambayo yanawachanganya sana wadada hata awe mjanja kiasi gani.

Ukifika wakati unaagana na demu wako anaenda chuo kama hampo mkoa mmoja ni muda muafaka wa kuweka mashada juu ya kaburi la penzi lenu. Atakudanganya atajitunza kwa ajili yako hio ni uwongooo... Uwongoo hio 🤣🤣🤣! Cha kufanya tafta sub tu mapema.
 
Ikawaje alivyowasha simu? Au ndio hakukutafuta tena?
 
NATAMANI NIJUE...NINI KILIENDELEA...VIPI MAISHA YAKE BAADA YA CHUO...PENZI LIMEFIKIA WAPI?
 
Bro story yako na yangu zimepishana kidogo sana ila wanachuo mpaka wamalze chuo nd akili zinakuwa sawa asee
 
Mtoto wa kike atoke kwenye poor family
Aingie chuo wadanganyane eti soon after school watapata kazi ila usisasahau viboom hapo anavipokea .

Dear rafiki hawezi kuwa yule mliyekuwa mnashinda naye mtaani hata buku hamna

Sio watoto wa kike tu hubadilika hata baadhi ya vitoto vya kiume vikifika chuo huhisi vimemamliza maisha na sasa viko maisha mengine

Dawa ni kumuacha amalize atarudi whether kwa kupiga magoti au kwa shetani aliyesahau mbuyu wake
 
One Man Down
We need Backup Over
 
Mkitoka mikoani msiwafate hostel kuwafumania mtaishia kuitiwa mwizi unapoteza maisha ishatokea hii binti wa chuo kumuitia ex wake wake alipojichanganya kumsuprise akakuta yupo chini ya kifua cha mwanachuo mwenzake, jamaa akapigwa akafa. Mtu akishaenda chuo achana nae msubirie likizo akija. KILA eneo lina mmiliki wake.
 
Hili nalo Wakalizingatie
 
😂😂😂😂
 
Mwanamke hasomeshwi
Mna bahati mbaya kama mnalala na bundi
 
Ndiyo maana mimi nikiona mtu anaowa mwanamke amepita chuo huwa naishia kusikitika tu.

Sisemi wasiolewe Ila hao ni changamoto ku-sattle nao ukiwa mwepesi wa kuchukulia mambo serious unakufa siku si zako au unaenda ngome kibwege.
 
1.acha umalaya
2. Acha umalaya
3. Pima afya yako tulia kwanza maisha kwanza ndio unaanza furahia kila dakika na sekunde na maisha ya hapa duniani ni matramu usitegemee mwanadamu mtumie kama umeelewa basi
 
Lakini mbona kama wewe na yeye mnafanana tu? Yeye unamuhisi ila wewe ni player kweli ........
 
Ha ha ha....
Mi nnae Mchepuko Mwanachuo,
Kuna dogo najua anamla sema sijamaindi

Nmechukulia POA
kwasasabu kwangu yeye Ni wa ziada,
afu nmeoa tayar wkt huo huo namla dada ake, ambae anajua kila kitu A to Z

Afu dada ake mwnyw ndo MAMAJ ambae kila siku nawaambia nmekolea haswa[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…