Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha mtaani jembe hayo mengine yanaratibiwa na 'FA' ama 'federation' zilizochini ya CAF /FIFAKwenye trophies huwa tunahesabu zile zinazotambulika na tff,caf na FIFA...hayo mengine Ni mabonanza hata wewe unaweza kuanzisha...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona unadharau makombe?? Hiyo Banc super8 iliwahi kutengenezwa superleague ya Bongo na Simba walishinda na kikosi Cha majank .....Makolo bana, mmeweka hadi kombe linaitwa "hedex"?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na hilo Bank ABE ndio lipi tena? Au ndio kama yale ya kili marathon? Mara eti kombe la mtani jembe, makolo mtaacha lini ujinga?
Hebu kuweni serious bana. Tuhesabu makombe yanayotambulika na TFF, CAF na FIFA. Yani uende kujichezea na akina Malimao FC huko, alafu uje kutuhesabia eti ni kombe umeshinda na unaliweka kwenye official records?
Aliewaita mbumbumbu apewe PhD!
Hapo kwa simba ongeza kachukua kombe la robo fainali klabu bingwa mara 3Yanga
Ligi kuu --28
Muungano--6
Kagame(cecafa)-5
Fa--6
Nyerere cup--3
Mapinduzi--2
Mtaani jembe--0
Tusker---2
Hadex--1
Cafcc---0
Cafcl--0
Ngao ya jamii--7
Banc ABE super8-0
Jumla--61
Simba
Ligi kuu--22
Kagame--6
Nyerere cup--3
Mapinduzi--4
Muungano--5
Tusker---4
Hadex--1
Mtaani jembe--3
Ngao ya jamii--9
Bank ABE super 8---1
Fa----5
Jumla-- 64
Wanaofuatia kwa mbaali
Azam
Ligi kuu --1
Fa--1
Mapinduzi 4
Ngao ya jamii 1
Jumla--7
Mtibwa
Ligikuu --2
Fa--2
Ngao ya jamii-1
Mapinduzi --2
Tusker--1
Jumla--8......
Huu ndio ukweli achana na matapeli