Achana na tetesi: Lil Ommy, go and get 'em, bro!

Huyu Jamaa mbona kipindi chake cha Radio na Cha Tv they are all Lame.. yan vinaboa.. sijui mnapimaje utangazaji ila go and check yule Jamaa anaitwa Joni Jo .. contents zake ndo utajua kuna watangazaji

Lil Ommy bhanaa nadhan anajiona mkubwa kuliko.. while ni mdogo kuliko esp ukimeet nae in person ndo utaelewa maneno yangu
 
Jamaa anajikuta anajua kinoma,wakati tu show yake bado haina wow factor..eti ana ndoto za kufanya kazi Hot 97 New York na kina Ebro..ndoto za alinacha kabisa hizi,japo hatutakiwi kuingilia dreams za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…