My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
- Thread starter
- #21
Bado hajapotea mzee,atarud tu huyu jamaa na atapata pesa zake anazoudai mziki, support ya media anaanza kuipata mdg mdg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hajapotea mzee,atarud tu huyu jamaa na atapata pesa zake anazoudai mziki, support ya media anaanza kuipata mdg mdg
Acha bangi mkuuSijausikiliza bado ila ngoma kali balaa!
Naona watu wana-hate tu kwny commentPermanent Love Bonge moja la joint Baraka kaimba vizur sana
Joh makini naye nimependa kaweza kuendana na wimbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wa nyumbani uyo sema me shabik wa mzik mzuri tu mkuuNaona unampromote mjaluo mwenzio omera
Chek hili bumunda lingineNimèusikiliza nyimbo yenyewe wewe na huyo mumeo baraka hamjielewi hata kidogo
[emoji3][emoji3]Nimèusikiliza nyimbo yenyewe wewe na huyo mumeo baraka hamjielewi hata kidogo
Atakula jeuri yakeYeye badala anyenyekee afike atakapo,analeta ujeuri
Nilitegemea utatukana tu so that why nimefanikiwa kuchezesha dishi lako kwahiyo nimefurahi sana je suis fouChek hili bumunda lingine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nataka nikuyumbishe hilo dishi lako jesuis fou
Mademu sio watu kamvumilia mwamba mpk jamaa akaanza kukonda,demu uyoo akapita katikati yake akasepaalifaidi sana papuchi safi kabisa ya Naj
Nakubali kuona kuna fans wa mziki mzuri mnaelewa anachofanya jamaa,ngoja niichek iyo ngoma rnIla hio permanent love Ni Cha mtoto kwa Marry you.Hebu kasikilize marry you kwanza ndo uje ubishe mkuu.
duh, mkuu em funguka hapa, nini kilijiri ?demu uyoo akapita katikati yake akasepa
Mkuu,demu km yule kuishi nae hakuna miujiza mzee,misuli ya uchum haitakiw kusinyaaduh, mkuu em funguka hapa, nini kilijiri ?
daah aiseemisuli ya uchum haitakiw kusinyaa
Hakuna miujiza kaka,labda umzae ww ila hawa wa mataifa lazma wakunyooshedaah aisee
Mtoto si anaishi UK yule au?Mkuu,demu km yule kuishi nae hakuna miujiza mzee,misuli ya uchum haitakiw kusinyaa