khaaaa, kwahio kaishia viboko tuuu?
Huyu ana mungu wake..
Angekuta upepo umekaa vibaya
Kubaka = 30,
Mwanafunzi = 30,
Under 18 = 30,
mara paaap na Mimba =30,
Mara tena iwe kinyume na maumbile = 30,
Ubao unasoma 150.
Hakimu naye akiongeza marupu rupu yake ya kazi, unasikia Anagonga lile rugu lao paaap, Miaka 200 a.k.a karne 2,
Mpaka hapo Kwisha habari yake, Mungu aliapa hamna binadamu atapitisha miaka 120(Mwanzo 6.3), kinachofuatia ni kuanika tuu maturubai in advance.
Huyu kama ni upepo, basi ana upepo na jamhuri, wewe una upepo wa selo, iga uone.