Troubleshooter
Senior Member
- Mar 30, 2016
- 120
- 136
Adhabu ya miaka 30 sio suluhisho ikizingatiwa aliye baka pia ni mtoto, muache roho mbaya huyo ni shetani wa mapenzi tu...Adhabu ya kubaka mimi nilijua ni miaka 30 jela. Lini imebadilika na kuwa viboko 12? Ama hakimu naye anatoka huko huko Lindi na kwa hiyo ameona ni kitu cha kawaida kwa kadiri ya utamaduni wao?
Hahaha aisee kweli huyo jamaa ana upepo wa jamuhurikhaaaa, kwahio kaishia viboko tuuu?
Huyu ana mungu wake..
Angekuta upepo umekaa vibaya
Kubaka = 30,
Mwanafunzi = 30,
Under 18 = 30,
mara paaap na Mimba =30,
Mara tena iwe kinyume na maumbile = 30,
Ubao unasoma 150.
Hakimu naye akiongeza marupu rupu yake ya kazi, unasikia Anagonga lile rugu lao paaap, Miaka 200 a.k.a karne 2,
Mpaka hapo Kwisha habari yake, Mungu aliapa hamna binadamu atapitisha miaka 120(Mwanzo 6.3), kinachofuatia ni kuanika tuu maturubai in advance.
Huyu kama ni upepo, basi ana upepo na jamhuri, wewe una upepo wa selo, iga uone.
Usikute kamuhonga hakimu nyumba... Hawa mahakimu na rushwa ni chanda na peteHuyo kamaliza ulozi mpaka hakimu karogeka, kweli uchawi upo
Umesahaukhaaaa, kwahio kaishia viboko tuuu?
Huyu ana mungu wake..
Angekuta upepo umekaa vibaya
Kubaka = 30,
Mwanafunzi = 30,
Under 18 = 30,
mara paaap na Mimba =30,
Mara tena iwe kinyume na maumbile = 30,
Ubao unasoma 150.
Hakimu naye akiongeza marupu rupu yake ya kazi, unasikia Anagonga lile rugu lao paaap, Miaka 200 a.k.a karne 2,
Mpaka hapo Kwisha habari yake, Mungu aliapa hamna binadamu atapitisha miaka 120(Mwanzo 6.3), kinachofuatia ni kuanika tuu maturubai in advance.
Huyu kama ni upepo, basi ana upepo na jamhuri, wewe una upepo wa selo, iga uone.
Jiongeze wote classmateskhaaaa, kwahio kaishia viboko tuuu?
Huyu ana mungu wake..
Angekuta upepo umekaa vibaya
Kubaka = 30,
Mwanafunzi = 30,
Under 18 = 30,
mara paaap na Mimba =30,
Mara tena iwe kinyume na maumbile = 30,
Ubao unasoma 150.
Hakimu naye akiongeza marupu rupu yake ya kazi, unasikia Anagonga lile rugu lao paaap, Miaka 200 a.k.a karne 2,
Mpaka hapo Kwisha habari yake, Mungu aliapa hamna binadamu atapitisha miaka 120(Mwanzo 6.3), kinachofuatia ni kuanika tuu maturubai in advance.
Huyu kama ni upepo, basi ana upepo na jamhuri, wewe una upepo wa selo, iga uone.
Mtoto wa kike miaka 18 wa kiume 18 na ni maboyfriend na girl friendWanasheria wetu humu ,njooni mtoe ufafanuzi sisi malaymen haituingii akilini kutoka miaka 30 mpaka mikwaju 12 inakuaje kuaje hapa ?Kwa huyu bazazi.
Adhabu ya miaka 30 sio suluhisho ikizingatiwa aliye baka pia ni mtoto, muache roho mbaya huyo ni shetani wa mapenzi tu...
Mambo ya kukubaliana unajua wewe,huo ni ubakajiAcha uchawi madogo wamekubaliana wakutane kwenye pagale hauna mbakaji mabinti wako likizo ya Corona wanavua chupi kila sehemu.