Acheni dharau. Umenikamata bado unaongea na simu, eti "usiweke tomato"

Acheni dharau. Umenikamata bado unaongea na simu, eti "usiweke tomato"

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Yaan wazee wa nyeupe kanikamata halaf anakuja huku anaongea na sim kabisa, eti usiweke tomato na asikauke, yaani kwahiyo anakamata gari huku ana uhakika wa hela yangu nayompa ndo aagizie msosi ama?

Nmecheka sana ingawa nmeumia sana.

Ila hawa jamaa wanakula maisha jamani, hiv kwanini sikuwa soja. Daah!

Sio soja mjeshi, hapana. Soja wa road.

Jamaa mmoja namfaham yuko kitengo kibaha ana hausi kama 4 hivi, kimasihara masihara tu

Ujue walioingia kitengo hiko wanakula maisha kuliko sisi ambao tuko huku kwingine

Aisee nimekubali

Uzi tayar
 
Kuna Coomer juzi katengeneza elfu 50 mbele ya macho yangu ghafla ghafla tu. Tena hata sio wale weupe ni wale wenye jezi za rangi ya boksi.

Kapiga mkono gari 5 kachukua leseni yangu halafu akaanza kutamba tu anadai nimpe shuka la mmasai tumalizane. Tairi kipara na kweli tairi yangu moja ni jau 😂😂😂 namwambia kamanda kula kaki basi anasema dogo naona unaleta utani.

Namwambia sina cash akanielekeza na Mpesa ilipo kabisa niende fasta ili tumalizane. La sivyo nakutia cheti mda si mrefu. Roho iliniuma ila ndio Life ukiwa na chombo makumari ni Mob huko road!
 
Kuna Coomer juzi katengeneza elfu 50 mbele ya macho yangu ghafla ghafla tu. Tena hata sio wale weupe ni wale wenye jezi za rangi ya boksi.

Kapiga mkono gari 5 kachukua leseni yangu halafu akaanza kutamba tu anadai nimpe shuka la mmasai tumalizane. Tairi kipara na kweli tairi yangu moja ni jau [emoji23][emoji23][emoji23] namwambia kamanda kula kaki basi anasema dogo naona unaleta utani.

Namwambia sina cash akanielekeza na Mpesa ilipo kabisa niende fasta ili tumalizane. La sivyo nakutia cheti mda si mrefu. Roho iliniuma ila ndio Life ukiwa na chombo makumari ni Mob huko road!
Jamaa wana maisha mazur sana. Kuna vitengo serikalin tulividharau lakin kumbe dah. Ukiwepo unakula maisha vibaya mno
 
Kitengo pekee nachochukia siku moja kama nitapata kazi ya polisi,ni kitengo cha trafiki,kula rushwa ni desturi,mimi na rushwa mbali mbali sitaki hela ya haramu.!
 
Kitengo pekee nachochukia siku moja kama nitapata kazi ya polisi,ni kitengo cha trafiki,kula rushwa ni desturi,mimi na rushwa mbali mbali sitaki hela ya haramu.!
Weweeeeeeeeeeeeee..wacha urongo
 
Kuna Coomer juzi katengeneza elfu 50 mbele ya macho yangu ghafla ghafla tu. Tena hata sio wale weupe ni wale wenye jezi za rangi ya boksi.

Kapiga mkono gari 5 kachukua leseni yangu halafu akaanza kutamba tu anadai nimpe shuka la mmasai tumalizane. Tairi kipara na kweli tairi yangu moja ni jau [emoji23][emoji23][emoji23] namwambia kamanda kula kaki basi anasema dogo naona unaleta utani.

Namwambia sina cash akanielekeza na Mpesa ilipo kabisa niende fasta ili tumalizane. La sivyo nakutia cheti mda si mrefu. Roho iliniuma ila ndio Life ukiwa na chombo makumari ni Mob huko road!
[emoji23][emoji23]
 
Yaan wazee wa nyeupe kanikamata halaf anakuja huku anaongea na sim kabisa, eti usiweke tomato na asikauke, yaani kwahiyo anakamata gari huku ana uhakika wa hela yangu nayompa ndo aagizie msosi ama?

Nmecheka sana ingawa nmeumia sana.

Ila hawa jamaa wanakula maisha jamani, hiv kwanini sikuwa soja. Daah!

Sio soja mjeshi, hapana. Soja wa road.

Jamaa mmoja namfaham yuko kitengo kibaha ana hausi kama 4 hivi, kimasihara masihara tu

Ujue walioingia kitengo hiko wanakula maisha kuliko sisi ambao tuko huku kwingine

Aisee nimekubali

Uzi tayar
Kitengo Uhamiaji wazee (immigration) ndo baba lao, kuna dingi huku anamiliki mijengo kama 6 na yote ya maana. Nyumba za kupangisha 2 moja inaishi familia yake na guest za kisasa 3 na sio za kitoto zote za maana, Mashamba ndo usiseme, gari Hiace 4, na gari za mchanga 2. Huyo dingi alichangamkia fursa kipindi cha Jakaya Sasa hv yeye hana shida.
Kuna kazi zingine ni za kuzarau lakini ndo mpango
 
Kitengo Uhamiaji wazee (immigration) ndo baba lao, kuna dingi huku anamiliki mijengo kama 6 na yote ya maana. Nyumba za kupangisha 2 moja inaishi familia yake na guest za kisasa 3 na sio za kitoto zote za maana, Mashamba ndo usiseme, gari Hiace 4, na gari za mchanga 2. Huyo dingi alichangamkia fursa kipindi cha Jakaya Sasa hv yeye hana shida.
Kuna kazi zingine ni za kuzarau lakini ndo mpango

Bado sijaelewa mantiki yako, haramu ni haramu..
Kabisa unasimama hadharani unamsifu mla rushwa?

Anyway kuna haramu nyingi, uza hata bangi, madawa ya kulevya au hata fanya ukahaba utakula maisha tu!
 
Yaan wazee wa nyeupe kanikamata halaf anakuja huku anaongea na sim kabisa, eti usiweke tomato na asikauke, yaani kwahiyo anakamata gari huku ana uhakika wa hela yangu nayompa ndo aagizie msosi ama?

Nmecheka sana ingawa nmeumia sana.

Ila hawa jamaa wanakula maisha jamani, hiv kwanini sikuwa soja. Daah!

Sio soja mjeshi, hapana. Soja wa road.

Jamaa mmoja namfaham yuko kitengo kibaha ana hausi kama 4 hivi, kimasihara masihara tu

Ujue walioingia kitengo hiko wanakula maisha kuliko sisi ambao tuko huku kwingine

Aisee nimekubali

Uzi tayar
Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Bado sijaelewa mantiki yako, haramu ni haramu..
Kabisa unasimama hadharani unamsifu mla rushwa?

Anyway kuna haramu nyingi, uza hata bangi, madawa ya kulevya au hata fanya ukahaba utakula maisha tu!
Mkuu gwankaja Mimi sijasifia haramu (rushwa) hapa, isipokuwa nimeelezea kuwa kitengo hicho pengine ndio kinaongoza kwa ubadhirifu wa fedha ama rushwa kwa watendaji wake wasio waaminifu.
Usipende sana kutafsiri kila kitu kwa negative na sio positive.
 
Back
Top Bottom