Ni kwel mkuuKitengo Uhamiaji wazee (immigration) ndo baba lao, kuna dingi huku anamiliki mijengo kama 6 na yote ya maana. Nyumba za kupangisha 2 moja inaishi familia yake na guest za kisasa 3 na sio za kitoto zote za maana, Mashamba ndo usiseme, gari Hiace 4, na gari za mchanga 2. Huyo dingi alichangamkia fursa kipindi cha Jakaya Sasa hv yeye hana shida.
Kuna kazi zingine ni za kuzarau lakini ndo mpango
Dah kama ndo ivi bora tu nigairi kununua gari, na nimegair kwli ham ya kununua gari ndo imepotea ivo.Kuna Coomer juzi katengeneza elfu 50 mbele ya macho yangu ghafla ghafla tu. Tena hata sio wale weupe ni wale wenye jezi za rangi ya boksi.
Kapiga mkono gari 5 kachukua leseni yangu halafu akaanza kutamba tu anadai nimpe shuka la mmasai tumalizane. Tairi kipara na kweli tairi yangu moja ni jau πππ namwambia kamanda kula kaki basi anasema dogo naona unaleta utani.
Namwambia sina cash akanielekeza na Mpesa ilipo kabisa niende fasta ili tumalizane. La sivyo nakutia cheti mda si mrefu. Roho iliniuma ila ndio Life ukiwa na chombo makumari ni Mob huko road!
[emoji23] bloo acha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gar yenywe unayo bloo,au ndo zle za kugongea kwa mwez unaendesha mara 1
Mama wambura songa ugari nakuja na mboga sasa hiviYaan wazee wa nyeupe kanikamata halaf anakuja huku anaongea na sim kabisa, eti usiweke tomato na asikauke, yaani kwahiyo anakamata gari huku ana uhakika wa hela yangu nayompa ndo aagizie msosi ama?
Nmecheka sana ingawa nmeumia sana.
Ila hawa jamaa wanakula maisha jamani, hiv kwanini sikuwa soja. Daah!
Sio soja mjeshi, hapana. Soja wa road.
Jamaa mmoja namfaham yuko kitengo kibaha ana hausi kama 4 hivi, kimasihara masihara tu
Ujue walioingia kitengo hiko wanakula maisha kuliko sisi ambao tuko huku kwingine
Aisee nimekubali
Uzi tayar