RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
selfie ndani ya gari mkeo atajuaje gari yako? Imagine vits/passo ziko ngapi mjini hapa!Tatizo wanaweza wakasababisha matatizo mfano mkeo akiziona tena na caption ya ajabu ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
selfie ndani ya gari mkeo atajuaje gari yako? Imagine vits/passo ziko ngapi mjini hapa!Tatizo wanaweza wakasababisha matatizo mfano mkeo akiziona tena na caption ya ajabu ajabu
'gangalagata' ni gari bovu na la kizamani kama zile landrover za mkoloni wakati tunadi uhuru.Umeniacha kwenye hilo neno
Gari lako hata gizani utalijua tu mkuu, nguo alizopiga nazo ndo zile alizovaa wakati nasafiri nae na zaidi moja ya picha aliyopost ilionesha nyumba ya ndugu yangu nilipofikia na kumshusha ili nae aelekee kwa nduguye.Labda sio gari yako...... vits/passo utajuaje hii yangu kwa kuangalia selfie ndani ya gari au selfie wanapiga kwenye number plate?
usikimbie bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......[emoji126]
anajifunga mkanda utadhani mna safari ya mkoaniwadada wa mjini unampa lift... anakaa siti ya mbele
anafunga na mkanda dereva unajiuliza dah..huyu
dada anajua sheria za barabarani..kumbe anataka
kujipiga selfie akapost instagram tena utakuta
anajipiga selfie kama ishirini kwa pozi tofauti
tofauti...
Hata Passo.... afu inaelekea ndio mtindo wako eeh?
ahahaaa vituko kweli yaaniHa ha ha...wadada wa mwendokasi
Mods mumetype Heading kwenye thread yangu, mumeniharibiaaa... Nazaa na nyinyi leo sikubaliiii JamiiForums