Acheni kumfuatilia Polepole ni mwanaharakati siyo mwanasiasa

Acheni kumfuatilia Polepole ni mwanaharakati siyo mwanasiasa

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
 
Kwa hiyo tuamin wewe ndio mwanasiasa ???

Kwa tafasiri yako, inamaana tuseme ndani ya CCM mwenyewe hamna mwanasiasa ??

Maana wote ni wahuni tu???


Kazi kwelikweli.
 
Pamoja na kwamba Polepole ni mshenzi fulani, ila huwa nacheka sana hii lugha kuwa mtu ni mwanaharakati kwakuwa anaikosoa serekali. Ili uwe mwanasiasa kwa tafsiri ya kiccm unatakiwa kuisifia tu serikali yake.
 
Afadhali Pole pole anaona kuna tatizo, kwenye TOZO

unakopa kopa, na misaada bado unachukua tozo, unapora wananchi wanyonge hata kidogo

Gesi, na madini..majizi yanaingia mikataba mibovu Kwa kula %
 
Afadhali Pole pole anaona kuna tatizo, kwenye TOZO

unakopa kopa, na misaada bado unachukua tozo, unapora wananchi wanyonge hata kidogo

Gesi, na madini..majizi yanaingia mikataba mibovu Kwa kula %
Mbaya zaidi bibi ushungi mshahara wake haukatwi kodi
 
Afadhali Pole pole anaona kuna tatizo, kwenye TOZO

unakopa kopa, na misaada bado unachukua tozo, unapora wananchi wanyonge hata kidogo

Gesi, na madini..majizi yanaingia mikataba mibovu Kwa kula %
Hoja anazo ila ni mwanaharakati na muhuni. Ukitaka kumjua mskilize. Yeye akiikashfu serikali wazungu wamuone
 
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
mtu mzima mwenye uelewa wake hapangiwi asome nini au asikilize nini atasikiliza au kusoma then atapima mwenyewe kipi ni kipi na huo ndio ukomavu. na ndiyo namna inayosaidia kujua mambo mchanganyiko. ona sasa wewe unataka kutupangia watu wa kuwasikiliza na kuwasoma. je ni sahihi , maana ya uhuru wa kusikiliza ni ipi kama hata watu wenye uelewa unataka kuwapangia wamsikilize nani au kumsoma nani. kwa kifupi acha asikilizwe, watu wasome anachokiandika then watu watapima kile anachoongea ni kweli? kile alichoandika ni sahihi na je kinaelimisha au kinapotosha je kina manufaa au hakina.
 
Nani AMTAKEE?
1645373885499.png
 
Wanaomfuatilia Ni wale waliomjua akiwa mwenezi wa ccm, tunaomjua tangu akiwa kwenye N.g.o wala hatushtuki kwa anachofanya
 
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
Sasa mnawakataa mashujaa wenu wa enzi ile sasa mnataka waende wapi, ilhali Kwa kauli moja mlikubaliana kuwa waliwavusha enzi Ile iliyopita🏃
 
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
Naomba kujua tofauti ya mwanaharakati na mwanasiasa maana inanichanganya kidogo
 
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
Nini tofauti ya mwanaharakati na mwanasiasa
 
Great thinkers,

Tangu kufariki kwa Dkt Magufuli, na hatimaye Mh. Polepole kumaliza kipindi chake cha ukatibu mwenezi, yaani unaona kabisa Polepole alivyopwaya kama mwana siasa. Polepole ili aishi lazima awe mwanaharakati, yaani yeye akipiga maneno ndiyo kula yake hiyo, yaani hana tofauti na akina Ulimwengu.

Ushauri, mnaomfuatilia acheneni naye atawapoteza maana yeye siyo mwanasiasa bali ni mwanaharakati na kula yake inategemea sana kupiga domo.

Hata zile shule zake za uongozi hazina maantiki, huwezi kufundisha watu wakati huo huo unawajengea chuki kwa serikali unaowafundisha, badala ya kujikita kuelimisha unajikita kubeza serikali na viongozi wake.
Kuna ukweli mmoja tu, na ukweli una upande mmoja,km ukweli umeangikia upande wa kuonesha madhaifu ya serikali isitafsiriwe anainanga serikali Bali ukweli ndio umeegemea huko
 
Back
Top Bottom