Acheni Kutudanganya ukweli ni kwamba Beki Inonga kasema mkimuacha Mkongo Mwenzake huyo nae anasepa zake upande wa Pili

Acheni Kutudanganya ukweli ni kwamba Beki Inonga kasema mkimuacha Mkongo Mwenzake huyo nae anasepa zake upande wa Pili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
SIMBA SC KUMBAKIZA MUGALU

Habari kutoka ndani ya Simba zinasema Majeraha aliyoyapata msimu huu Chris Mugaluni moja ya sababu inayopelekea uongozi wa klabu hiyo kutomuacha.

Msimu huu hakuonyesha makali tofauti msimu uliopita Mugalu alimaliza na mabao 15 katika mechi 19

Chanzo: SportsArenaTz

Wenye kujua ya ndani tunajua kuwa hata akina Erasto Nyoni na John Boko nao hamuwaachi kwani Mshikaji wao Mkuu ( mpaka katika Kuroga ) Kipa Aishi Manula amewaomba kuwa msiwaache. Kifupi ni kwamba Simba SC hakutakuwa na Mabadiliko yoyote kwani kumejaa Uhuni na Uswahili tu hivyo Yanga SC nawatabiria leo rasmi kuwa hata Msimu ujao wanaenda kuwa Mabingwa tena.

Imeisha hiyo.....!!!!!
 
SIMBA SC KUMBAKIZA MUGALU

Habari kutoka ndani ya Simba zinasema Majeraha aliyoyapata msimu huu Chris Mugaluni moja ya sababu inayopelekea uongozi wa klabu hiyo kutomuacha.

Msimu huu hakuonyesha makali tofauti msimu uliopita Mugalu alimaliza na mabao 15 katika mechi 19

Chanzo: SportsArenaTz

Wenye kujua ya ndani tunajua kuwa hata akina Erasto Nyoni na John Boko nao hamuwaachi kwani Mshikaji wao Mkuu ( mpaka katika Kuroga ) Kipa Aishi Manula amewaomba kuwa msiwaache. Kifupi ni kwamba Simba SC hakutakuwa na Mabadiliko yoyote kwani kumejaa Uhuni na Uswahili tu hivyo Yanga SC nawatabiria leo rasmi kuwa hata Msimu ujao wanaenda kuwa Mabingwa tena.

Imeisha hiyo.....!!!!!
Mitandaoni kila mtu anatapika
 
SIMBA SC KUMBAKIZA MUGALU

Habari kutoka ndani ya Simba zinasema Majeraha aliyoyapata msimu huu Chris Mugaluni moja ya sababu inayopelekea uongozi wa klabu hiyo kutomuacha.

Msimu huu hakuonyesha makali tofauti msimu uliopita Mugalu alimaliza na mabao 15 katika mechi 19

Chanzo: SportsArenaTz

Wenye kujua ya ndani tunajua kuwa hata akina Erasto Nyoni na John Boko nao hamuwaachi kwani Mshikaji wao Mkuu ( mpaka katika Kuroga ) Kipa Aishi Manula amewaomba kuwa msiwaache. Kifupi ni kwamba Simba SC hakutakuwa na Mabadiliko yoyote kwani kumejaa Uhuni na Uswahili tu hivyo Yanga SC nawatabiria leo rasmi kuwa hata Msimu ujao wanaenda kuwa Mabingwa tena.

Imeisha hiyo.....!!!!!
Tunakutunzia hii risiti yako mpaka usajili umalizike.
 
Ndio ila acha uzushi, Simba wana taratibu zao , mda ukifika watatoa taarifa, ramli sio nzuri
Pimbi Wewe mbana safari hii hujanijibu tena hovyo ili nikuonyeshe nilivyo na PhD ya Majibu Kuntu kwa Wehu kama Wewe.
 
Back
Top Bottom