GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
SIMBA SC KUMBAKIZA MUGALU
Habari kutoka ndani ya Simba zinasema Majeraha aliyoyapata msimu huu Chris Mugaluni moja ya sababu inayopelekea uongozi wa klabu hiyo kutomuacha.
Msimu huu hakuonyesha makali tofauti msimu uliopita Mugalu alimaliza na mabao 15 katika mechi 19
Chanzo: SportsArenaTz
Wenye kujua ya ndani tunajua kuwa hata akina Erasto Nyoni na John Boko nao hamuwaachi kwani Mshikaji wao Mkuu ( mpaka katika Kuroga ) Kipa Aishi Manula amewaomba kuwa msiwaache. Kifupi ni kwamba Simba SC hakutakuwa na Mabadiliko yoyote kwani kumejaa Uhuni na Uswahili tu hivyo Yanga SC nawatabiria leo rasmi kuwa hata Msimu ujao wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!
Habari kutoka ndani ya Simba zinasema Majeraha aliyoyapata msimu huu Chris Mugaluni moja ya sababu inayopelekea uongozi wa klabu hiyo kutomuacha.
Msimu huu hakuonyesha makali tofauti msimu uliopita Mugalu alimaliza na mabao 15 katika mechi 19
Chanzo: SportsArenaTz
Wenye kujua ya ndani tunajua kuwa hata akina Erasto Nyoni na John Boko nao hamuwaachi kwani Mshikaji wao Mkuu ( mpaka katika Kuroga ) Kipa Aishi Manula amewaomba kuwa msiwaache. Kifupi ni kwamba Simba SC hakutakuwa na Mabadiliko yoyote kwani kumejaa Uhuni na Uswahili tu hivyo Yanga SC nawatabiria leo rasmi kuwa hata Msimu ujao wanaenda kuwa Mabingwa tena.
Imeisha hiyo.....!!!!!