Acheni Kutudanganya ukweli ni kwamba Beki Inonga kasema mkimuacha Mkongo Mwenzake huyo nae anasepa zake upande wa Pili

Nimefurahi tu hapo uliposema Yanga atakuwa bingwa tena msimu ujao! Good boy [emoji3581]
Mwaka jana Manara aliwahi kusema Simba itaendelea kuchukua kombe la ligi kuu mara nane mfululizo. Sijui limetimia? Tukianza na mwaka huu kwanza
 
Digirii yako ya SAUT, unaifedhesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…