Pre GE2025 Acheni kutumia watoto bure kwa faida zenu za kisiasa

Pre GE2025 Acheni kutumia watoto bure kwa faida zenu za kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Biashara yoyote inafanywa kutafuta faida. Na mnaofanya hizi sinema za kubebesha watoto mabango ya Samia mnatafuta kuonekana kwake kwamba mnampigania ili awateue.

Lakini watoto hawa Malaika wa Mungu wasiojua kitu wanapata nini wakati hata kandambili miguuni hamuwanunulii?

Mnatumia vibaya umasikini wa Watanzania Kwa faida yenu wakati hata Rais hajui mnampambania kweli au mnajipambania wenyewe Kwa kutumia kivuli chake?

Na Walimu na Wazazi mnaotoa watoto wafanyiwe maigizo na Machawa hawa Mungu awalaani milele.

20240709_212912.jpg
 
Mbona hata Chadema waliwahi kutoa wanafunzi darasani na kuwaruhusu kuwashangilia wakiwa kwenye mambo yao ya vyama ila akifanya ccm mnaona n jambo baya.

Ngoja aje Erythrocyte anipinge wakati yeye mwnyw aliwahi kuleta mada humu kusifia hilo
 
Mbona hata Chadema waliwahi kutoa wanafunzi darasani na kuwaruhusu kuwashangilia wakiwa kwenye mambo yao ya vyama ila akifanya ccm mnaona n jambo baya.

Ngoja aje Erythrocyte anipinge wakati yeye mwnyw aliwahi kuleta mada humu kusifia hilo
Tumezidiwa bado kuwabebesha picha na kuwavalisha wanyama wa kufugwa kisha wa mbugani Ngorongoro. Hali siyo shwari! Maana waTanzania hamtuelewi.
 
Biashara yoyote inafanywa kutafuta faida. Na mnaofanya hizi sinema za kubebesha watoto mabango ya Samia mnatafuta kuonekana kwake kwamba mnampigania ili awateue.

Lakini watoto hawa Malaika wa Mungu wasiojua kitu wanapata nini wakati hata kandambili miguuni hamuwanunulii?

Mnatumia vibaya umasikini wa Watanzania Kwa faida yenu wakati hata Rais hajui mnampambania kweli au mnajipambania wenyewe Kwa kutumia kivuli chake?

Na Walimu na Wazazi mnaotoa watoto wafanyiwe maigizo na Machawa hawa Mungu awalaani milele.

View attachment 3037930
Tutaona na kusikia mengi
 
Back
Top Bottom