Acheni masikhara Tunda kaumbwa kwa udongo wa wenye dhahabu

Acheni masikhara Tunda kaumbwa kwa udongo wa wenye dhahabu

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Jamani jamani haka katoto Tunda katakuja kuvunja ndoa yangu siku si nyingi walahi.


Yaaani haka katoto kamebarikiwa kila sekta hakika nathubutu kusema aliumbwa na kunakshiwa na udongo wenye dhababu ndani yake maana duuuh kila anavyozidi kukua anazidi kuwa mzuri mara tatu zaidi ya siku za nyuma.


_blush_.jpg


"Niamini eeeh mimi mwengine sina darling

Na mbaya sikufunzwa tabia.


Mahaba niue mimi mwenzako chali chali

Ndani donda funza nishaga jifia

Bora kukueleza imenishinda sirii
We ndo umeniweka kiganjani
Na nikiteleza unikoshe na mwili
Chonde usije niweka visangani


Nawe chunga kauli zinaponza

Zitafanya tuwe maadui maadui

Kinywa tia kufuli na macho fumba

Usije kutamani mabedui mabedui iiiii


Dede dede simama wakuone you are my number one

Dede dede simtaki mwengine you are my only oneeeeeeee.
 
Name UOTE="Sky Eclat, post: 25413681, member: 106478"]Mtoto ana mpelekesha Dai mpaka bi Tukinao amekuwa speech less.[/QUOTE]
Na mchaga huyu inaonekana anakula kwa akili
 
Jamani jamani haka katoto Tunda katakuja kuvunja ndoa yangu siku si nyingi walahi.


Yaaani haka katoto kamebarikiwa kila sekta hakika nathubutu kusema aliumbwa na kunakshiwa na udongo wenye dhababu ndani yake maana duuuh kila anavyozidi kukua anazidi kuwa mzuri mara tatu zaidi ya siku za nyuma.


View attachment 680634

"Niamini eeeh mimi mwengine sina darling

Na mbaya sikufunzwa tabia.


Mahaba niue mimi mwenzako chali chali

Ndani donda funza nishaga jifia

Bora kukueleza imenishinda sirii
We ndo umeniweka kiganjani
Na nikiteleza unikoshe na mwili
Chonde usije niweka visangani


Nawe chunga kauli zinaponza

Zitafanya tuwe maadui maadui

Kinywa tia kufuli na macho fumba

Usije kutamani mabedui mabedui iiiii


Dede dede simama wakuone you are my number one

Dede dede simtaki mwengine you are my only oneeeeeeee.
Ni kweli mzuri ila unatakiwa unajiheshm mwenyew##usionevyaelea
 
Acha maneno yako wewe unamjua aika wa mtaani kwetu wewe?

Unajua ninavyotafuta hela kama chizi kwaajili yake?

Kuna watoto wameumbwa bwana aika ni nambari 1 tabata nzima.
Ka picha tafadhali!!
 
Back
Top Bottom