Acheni roho mbaya mazee. Yaani PM yangu iko EMPTY kabisa ...dah!!

Paa

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
1,462
Reaction score
2,935
Em chekini wenyewe [emoji23] [emoji23]
 
Tatizo wewe huingii JF mara kwa mara, sasa utazoeanae na watu...

Mtu kuja PM lazima mzoeane japo kidogo.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ........huo muda wa kuzoeana na watu ni kazi kuupata...kwa kushinda jf mara kwa mara..

Siunajua majukumu
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ........huo muda wa kuzoeana na watu ni kazi kuupata...kwa kushinda jf mara kwa mara..

Siunajua majukumu
Sawa, jua pia watu wengi waliopo humu wanatekeleza majukumu yao kama kawaida na humu wapo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…