DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio kabakiza kupaa angani na kuroga tu ili akamilishe status yake ya uchawi...Wabongo wana roho mbaya ya asili
Ukiona Ruge, Diamond, Joti n.k wanachukiwa Jua ni kutokana Na mafanikion Yao Sio Matatizo yao
Bongo ukiwa Na hamu uchukiwe hata Na ndugu zako wa damu basi fanikiwa
Njoo uniambie...Halafu ntakutafuta.
Nina maongez na wewe
Tuonane wap ?Njoo uniambie...
Wewe ndo umesema utanitafuta maana yake unafahamu pakuniona.Tuonane wap ?
Umenena mkuu..watu wana wivu sana,na ndo maana mtu akifanikiwa utaanza kusikia mara anauza unga,mara freemason, mwizi na mambo mengine ya kipumbavu,kumbe wengine wamehaso kihalali kupata mali walizonazo kwa kujibana..Mwenzio kabakiza kupaa angani na kuroga tu ili akamilishe status yake ya uchawi...
Yaani wabongo bhana wanataka wote tuwe maskini wafurahi na tunavoendelea kukaririshwa kuwa matajiri ni wezi hadi unaweza ukacheka jinsi chuki hii mbaya inavyowatafuna maskini...
Mimi kilichonishtua ni huo mjengo wa joti ambao sijawahi kuona akiupa promo kama wasaniii wengine..kwa hilo nampa respect
Bas sawaWewe ndo umesema utanitafuta maana yake unafahamu pakuniona.
Acha mawazo ya kimaskin mkuu.Unajua akina Joti wameumiza watu na kuwaathiri kisaikolojia kwa kile kipindi chao infamous KUFULIA. Walizidi sana hadi walipigwa stopu. Lunyamila hana ugomvi na mtu wakamuigiza kafulia. Eti Vengu ndie Lunyamila sasa hivi jamaa anaumwa yuko kitandani.
Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.
Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.
Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.
Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.
Mods msiunganishe uzi
Orijino komedi na umefulia - YouTube
Ndo maana matajiri wanazidi kuwa matajiri huku maskini wakiwarithisha umaskini watoto wao.. yaani mtoa mada ndo baba wa mtu ..sasa huyo mtoto inakuajeUmenena mkuu..watu wana wivu sana,na ndo maana mtu akifanikiwa utaanza kusikia mara anauza unga,mara freemason, mwizi na mambo mengine ya kipumbavu,kumbe wengine wamehaso kihalali kupata mali walizonazo kwa kujibana..
Wewe lazma mchawi unaroho ndogo ya wivu,mbna kimara watu wamebomolewa nyumba zao tena nyingi nje ya vipimo vya awali, hukuja hapa kuanzisha uzi..kua na ubinadamu na wivu wa maendeleoUnajua akina Joti wameumiza watu na kuwaathiri kisaikolojia kwa kile kipindi chao infamous KUFULIA. Walizidi sana hadi walipigwa stopu. Lunyamila hana ugomvi na mtu wakamuigiza kafulia. Eti Vengu ndie Lunyamila sasa hivi jamaa anaumwa yuko kitandani.
Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.
Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.
Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.
Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.
Mods msiunganishe uzi
Orijino komedi na umefulia - YouTube
sas hatumlipi hata 100. kama wa kimara wamesurvive sembuse huyo poko?Acheni roho mbaya...wao kuigiza ndio kazi yao.
Joti nyumba yake ipo ktk eneo wanaotakiwa kulipwa fidia
kasoro magufuli. usicheze na 1.5tKufulia kila mtu anaweza kufulia tu sio dhambi