Acheni tu Joti abomolewe nyumba, alikebehi sana watu kwenye kipindi chao

Acheni tu Joti abomolewe nyumba, alikebehi sana watu kwenye kipindi chao

Wabongo wana roho mbaya ya asili

Ukiona Ruge, Diamond, Joti n.k wanachukiwa Jua ni kutokana Na mafanikion Yao Sio Matatizo yao


Bongo ukiwa Na hamu uchukiwe hata Na ndugu zako wa damu basi fanikiwa
Mwenzio kabakiza kupaa angani na kuroga tu ili akamilishe status yake ya uchawi...
Yaani wabongo bhana wanataka wote tuwe maskini wafurahi na tunavoendelea kukaririshwa kuwa matajiri ni wezi hadi unaweza ukacheka jinsi chuki hii mbaya inavyowatafuna maskini...

Mimi kilichonishtua ni huo mjengo wa joti ambao sijawahi kuona akiupa promo kama wasaniii wengine..kwa hilo nampa respect
 
Mwenzio kabakiza kupaa angani na kuroga tu ili akamilishe status yake ya uchawi...
Yaani wabongo bhana wanataka wote tuwe maskini wafurahi na tunavoendelea kukaririshwa kuwa matajiri ni wezi hadi unaweza ukacheka jinsi chuki hii mbaya inavyowatafuna maskini...

Mimi kilichonishtua ni huo mjengo wa joti ambao sijawahi kuona akiupa promo kama wasaniii wengine..kwa hilo nampa respect
Umenena mkuu..watu wana wivu sana,na ndo maana mtu akifanikiwa utaanza kusikia mara anauza unga,mara freemason, mwizi na mambo mengine ya kipumbavu,kumbe wengine wamehaso kihalali kupata mali walizonazo kwa kujibana..
 
Mto uzi una roho ya kimaskini sana.
Unafikiri akibomolewa wewe utafaidika na nini ama chuki tu???
Je unajua yuko na vitega uchumi vingapi? Sio rahis atetereke kama unavyodhani..

Uchawi sio vitendo tu na hata wenye vijiba vya roho kama chako...

Samahan lakini
 
Unajua akina Joti wameumiza watu na kuwaathiri kisaikolojia kwa kile kipindi chao infamous KUFULIA. Walizidi sana hadi walipigwa stopu. Lunyamila hana ugomvi na mtu wakamuigiza kafulia. Eti Vengu ndie Lunyamila sasa hivi jamaa anaumwa yuko kitandani.

Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.

Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.

Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.

Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.

Mods msiunganishe uzi


Orijino komedi na umefulia - YouTube
Acha mawazo ya kimaskin mkuu.
 
Viwanja vyote vilivyowekewa X ni vya kupimwa,Vina hati na walinunua wizara ya Ardhi,Kwahiyo hata kama akivunjiwa Nyumba au Ukuta atalipwa fedha zake ila bora wavunje na nyumba yote sio ukuta tu maana wakivunja ukuta barabara itakuwa inapita kwenye kibalaza,akitoka mlangoni anakanyaga lami ambayo ni risk.
 
Umenena mkuu..watu wana wivu sana,na ndo maana mtu akifanikiwa utaanza kusikia mara anauza unga,mara freemason, mwizi na mambo mengine ya kipumbavu,kumbe wengine wamehaso kihalali kupata mali walizonazo kwa kujibana..
Ndo maana matajiri wanazidi kuwa matajiri huku maskini wakiwarithisha umaskini watoto wao.. yaani mtoa mada ndo baba wa mtu ..sasa huyo mtoto inakuaje
 
Unajua akina Joti wameumiza watu na kuwaathiri kisaikolojia kwa kile kipindi chao infamous KUFULIA. Walizidi sana hadi walipigwa stopu. Lunyamila hana ugomvi na mtu wakamuigiza kafulia. Eti Vengu ndie Lunyamila sasa hivi jamaa anaumwa yuko kitandani.

Walishamuigiza mama Asma kadogo (taarab)kafulia ilibaki wairushe hewani
akafariki wiki iyo iyo ikabidi waifute. Bila aibu Mc Regan likahudhuria msibani na yeye ndie aliigiza kama Asma.

Na wabongo wanavyopenda umbea na watu kufulia yani kipindi kilikuwa maarufu sana.

Muosha uoshwa. Sasa nalo linavunjiwa nyumba bila fidia.

Hii hapa chini ni video moja tu ya kipekee ambayo ipo youtube ya kipindi cha hovyo kabisa Kufulia walivyomdhalilisha Muumin Mwinjuma kocha wa dunia.

Mods msiunganishe uzi


Orijino komedi na umefulia - YouTube
Wewe lazma mchawi unaroho ndogo ya wivu,mbna kimara watu wamebomolewa nyumba zao tena nyingi nje ya vipimo vya awali, hukuja hapa kuanzisha uzi..kua na ubinadamu na wivu wa maendeleo
 
Back
Top Bottom