Acheni tu taarabu ni tamu, na zinafunza jamii haswaa!

Napenda kaona mambo iko huku taraabu imo ..by Nasma Kidogo (RIP) na Chaja ya Kobe
 
Napenda kaona mambo iko huku taraabu imo ..by Nasma Kidogo (RIP) na Chaja ya Kobe

Kaona mambo yapo huku taarabu imo taarabu imo, kaona mambo yapo huku weeeee utaumiza roho yako

Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo*2. umeshachelewa naondoka naye, umeishiwa nina dunda naye. Kipi cha kung'ang'ania hakutaki ebu timua, mtu mzima hovyo unajieshua, mtu mzima hovyo unajieshua

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Ameshanipenda wewe kakuponda
Wajipendekeza na kujigonga gonga

R. I. P Nasma.
 
hahahahaha Mrembo by Nature me nilishawishiwa mara moja na mzee yusuph kusikiliza huu music hasa hule wimbo wake wa " your ma valentine"

Hebu nikumbushe mistari michache.
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha Mrembo by Nature me nilishawishiwa mara moja na mzee yusuph kusikiliza huu music hasa hule wimbo wake wa " your ma valentine"

Hebu nikumbushe mistari michache.

JAHAZI- VALENTINE DAY - YouTube

Wakushukuriwa ni Mungu aaahh ni Mungu....kwa ulofanikiwa na usilofanikiwa......alhamdulilah ndilo neno langu Mungu amuweke vizuri mpenzi wangu kwa matunzo na mahabaaaaa raha nalijia tuuu, ahhh najinenepea tuuuu
 
Ananipumbaza napumbazikaaa, ananiliwaza naliwazikaaaaaa, ananibembeleza nabembelezekaaaa
 
ananisugua nasuguliiikaaaaa......!
 
wanawishe mafuta ya nazi...chakula chao mafenesi hao....! wameoga bila sabuni...heheheh...
raha ya taarab kiuno bibiwe
 
Taarab napenda lkn zle old taarab sio hizi sasa modern taarab
 
3 nov habari ya mujini,makavu live,dom la udaku,waja msinihukumu pale migomigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…