kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
taratibu inanogaga nikiwa nyuma ya limama lenye wezere kubwa na lainiii!
hii nyimbo naipenda mno jamaaSio kusi kasikazi wema wangu bado,kwa neema yake jalari bahati haina siri muda wake ukifikia,muomba mungu kwa dhati husitirika,kila muomba mungu hatoki mtupu daima hata uwe sungusungu hata kunyima Bi mwanahawa ally weeeeee hapana chezea
"Aaaa Mungu kanipa kauli nzuri niongee na watu kwanini wasinipendeeeee"
Msiniite mswahili japo mie mtanzania nazungumza kiswahili na kiswahili asili yangu. Wanajamii taarabu zinamafunzo kweli kweli na huwa hazichoshi kusikiliza. Mfano huyu mdada Leyla Rashidi verse zake zimeenda shule sana.
"Kizingiti cha manani ni mtihani kwa mja, hata uwe mashakani usisite kumtaja"
"Kauli ya molaaaaaaa silaha nzitoooo alipangalo ndilo litakuwaaaa"
Leyla Rashid & Jahazi Modern Taarab - Fungu La Mungu Sikosi - YouTube.
Hivi mnikumbushe na ule wa marupe rupe ndio unasemaje vile?
CC
Wapenzi wenzangu wa nyimbo za mwambao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"Mtajibebaaaaaa, sihofu porojo zenu mtajibebaaaa, sihofu vishindo vyenu mtajibebaaaaaaaa, mmenipandisha mizukaaaaaa taire taireeeeeee.....................Wachezeya sumaku weye utanasa tuuuuu"
Wasomi msipite pande hizi uswahili tuachieni sie
Nipo nimejaa sema majukumu ya kifamilia yananityt...kulea sio kazi ya sport sportBinti Magufuli uko wapi? Au Na Wewe unaisoma namba kiana flani hivi.
Nipo nimejaa sema majukumu ya kifamilia yananityt...kulea sio kazi ya sport sport
Mama Sabaha Salum Muchacho nampenda sana huyu mama kila siku nasikiliza nyimbo zake kuna sehemu anakwambia "Mungu hakupi kilema akakukosesha mwendo"
Sipend taarab na taarab ndo imereta mashoga
Nmefanya utafiti tayar acha ubishi
Asante tunashukuru kuuona tukiwa wenye afya. Uwe mwaka mwema kwako piaKama umzima wa afya NI furaha yangu
Hongera za Mwaka mpya 2017 Pamoja Na familia yako.