Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
Sijui ni stress za maisha umeshaambiwa hapa ni LOVE Connect mtu anatoka alikotoka anaanza kuwakosoa wanaosaka wachumba Mara wawakejeli sasa umefungua page hii ya nini kama huna positive motive.Credibility ya kumshambulua mtu anayetafuta mwenza hapa inatoka wapi, huna ushauri huna unalolijua unabaki.
Ooh mtaani hujawaona ulikuwa wapi siku zote Mara account yakoo imejaa all that shit for what? Are you insane_? Foolish or looser Pita fanya yako JF hawakukosea kuweka jukwaa kuna ulazima huyo kana tayari unaye shukuru sio kuja kuropoka na kukatisha watu tamaa, halafu utakuta mu huyo bado hata kuanzisha familia Pm nyingi za usumbufu za kulilia wachumba.
Yaani mnakera sana hapa watu wapo wazuri na wabaya kwani ukikutana na mtu mtaani au chuoni kama hamuendani ndo mtadumu? Hao watu wa Mitaani mavyuoni si ndo sisi au Zero Brain? Washamba wakubwa ebu kasafisheni macho hata kwenye Forums zingine za mahusiano.
Mpaka ndoa na ushuuda upo wa watu waliokutana humu Love Connect Afro introductions maana naona watu waasioelewa mmevamia kazi za watu.
Ooh mtaani hujawaona ulikuwa wapi siku zote Mara account yakoo imejaa all that shit for what? Are you insane_? Foolish or looser Pita fanya yako JF hawakukosea kuweka jukwaa kuna ulazima huyo kana tayari unaye shukuru sio kuja kuropoka na kukatisha watu tamaa, halafu utakuta mu huyo bado hata kuanzisha familia Pm nyingi za usumbufu za kulilia wachumba.
Yaani mnakera sana hapa watu wapo wazuri na wabaya kwani ukikutana na mtu mtaani au chuoni kama hamuendani ndo mtadumu? Hao watu wa Mitaani mavyuoni si ndo sisi au Zero Brain? Washamba wakubwa ebu kasafisheni macho hata kwenye Forums zingine za mahusiano.
Mpaka ndoa na ushuuda upo wa watu waliokutana humu Love Connect Afro introductions maana naona watu waasioelewa mmevamia kazi za watu.