Ansah Miles
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 392
- 175
Gari za kike ni zile zinazogaiwa bure tu kama zipo
kama gari inanunuliwa kwa pesa na pesa haina jinsia basi gari za kike hakuna..
Unaweza kukuta mtu ana Vits ya milioni 24 na mwingine ana Benz ya milioni 10
sasa 'uanaume' ni upi hapo?
Mli-conclude vipi?Hii mada tushadiscuss sana hapa last year au ndo mmeamua kutu refresh back
Hakuna magari ya kike au ya kiume....kama huna uwezo wa kununua ...funga mdomo.ununue viatu vipya!!!
Tena ni bora mwanaume ukaendesha bajaj kuliko hivyo vigari....vya......
Muda umepita ila imebidi nicheke tu.Naendelea
Japan maranyingi hutumia majina ya watu wenye magari,sasa mwenye Jinsi utajijua.
Nikiendelea na kuja Na DADA SPACIOZA,kwa ufupi SPACIO
Majina ya SPACIOZA wengie tunawajua na wengine tumesoma nao.
Sasa huitwa kwa ufupi SPACIO
DADA SPACIO huyu hapa,
Naomba msinilaumu sio mie ni Japan huko,Maana wameona watu hawajitambui kwamba kuna magari ya kike na kiume.
Wakaona labda waweke majina ili watu wajue lakini wapi,au mnataka hadi waweke chupi za kike kwenye gari ndio mjue la kike.
Mdada SPACIOZA (SPACIO) huyuuu,Tena ana HIPS,duhh yaani wajapani hatari kweli,wanaweka hadi HIPS ili watu tujue la kike,lakini wapi.
View attachment 254510
Yapo ila kwa uchache sana. Ingia forum zao.mambo hayo yapo tanzania tu magari ya kike na kiume sijawahi kusikia nje ya nchi maneno hayo