Ansah Miles
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 392
- 175
Gari za kike ni zile zinazogaiwa bure tu kama zipo
kama gari inanunuliwa kwa pesa na pesa haina jinsia basi gari za kike hakuna..
Unaweza kukuta mtu ana Vits ya milioni 24 na mwingine ana Benz ya milioni 10
sasa 'uanaume' ni upi hapo?
Kula tano the boss , na like za kutosha
Ukishakuwa maskini tu hasa kiakili,kifikra utatumia udhaifu huo kuponda hali na mali za watu wengine


