Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Hakuna gari ya kike bali kuna gari ambazo ni za kike. i.e feminine

Kuna Gari ambazo hupendwa na wanawake na pengine ni rahisi kuziendesha na kuzihudumia , hata wale Ma-buzi wapenda kununulia wanawake magari huwa hawanunui Defender, TaTa, Vx na magari makubwa ya Manual, Hata kupenda Dezo Dezo napo kumesababisha hii kasumba kusamaa. Wapo wanaume ambao wanapata shida sana kupata Pesa kununua Gari na Hao Hao wakisikia Mtu anaifananisha Gari na ya kike huchukia sana, Lakini watengenezaji magari wao hawajabagua Umilikaji wametengeneza kwa Ajili ya jinsia zote, japo kuna magari kama maroli pickup nk wanawake wenyewe hawayapendi.
 
Kiuhalisia hakuna gari ya kike wala ya kiume...lakini kimuonekano inaleta heshima kwa mwanaume kutulia ndani ya Land Cruiser au Range Rover kuliko mwanaume wa miraba minne kujificha ndani ya vitz au spacio....ambapo kimuonekano zinawapendeza sana wakiendesha wadada...
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa: A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Ni kweli Neno kike ni Tusi kwa mwanaume lakini huyo huyo mwanamke anaweza kuhongwa Gari kwa Siri kisha akamzuga mume wake kuwa amekopeshwa kazini kwake , na Hilo Gari la mchepuko Mwanaume anajiachia humo humo, wanunuzi wa magari ya michepuko ndiyo wamechangia kueneza hii dhana, kwani wengi hununua Gari karibia za Aina moja yaani zile gari za bei poa na rahisi kuzihudumia, hata Mafundi magari huwapenda sana wanawake kutokana na Uelewa Mdogo juu ya Matatizo ya Magari na Hivyo kuwa rahisi kuwaibia pesa kwa kuwabambikia Magonjwa feki kwa hizo Gari na inakuwa rahisi Buzi kulihudumia Gari kuliko kama ingekuwa Vx ingekuwa Taabu, kwa kifupi Gari zote ni kwa Jinsia zote lakini Michepuko ndiyo imesababisha baadhi ya magari kuonekana ya kike.
 
Unatembelea starlet nn mana kuna rafiki yangu kamnunulia demu wake kama hiyo
 
Kiuhalisia hakuna gari ya kike wala ya kiume...lakini kimuonekano inaleta heshima kwa mwanaume kutulia ndani ya Land Cruiser au Range Rover kuliko mwanaume wa miraba minne kujificha ndani ya vitz au spacio....ambapo kimuonekano zinawapendeza sana wakiendesha wadada...

Bora niiuze maana masimango yamezidi.....mpaka KikulachoChako!!!!!
 

Attachments

  • 1431059705274.jpg
    1431059705274.jpg
    48.6 KB · Views: 463
Last edited by a moderator:
nissan murano ya mwaka 2006 inaweza ikawa na bei gani show room
 
Gari za kike ni zile zinazogaiwa bure tu kama zipo
kama gari inanunuliwa kwa pesa na pesa haina jinsia basi gari za kike hakuna..
Unaweza kukuta mtu ana Vits ya milioni 24 na mwingine ana Benz ya milioni 10
sasa 'uanaume' ni upi hapo?

Flabbergasting.....
 
wabongo noma...siku moja kitaa washkaji wamekaona ka-vitz kamepaki nje ya nyumba flan wakajua kuna mtt wa kike yupo ndani..basi wakakablock kwa mbele..nia,lengo na dhumuni lao mtt akitoka nje awaombe wasogeze gari lao ili wapate nafasi ya kuzeveza kidogo..basi kilitoka kipande cha mtu hicho..miraba minne..washkaji wakachoka

You made my first smile of the day...
 
Siwezi kuendesha ist, au vitz kutokana na urefu wangu futi 6.5 ngoko cz zinagusa mpka kwenye kioo kichwa kinagusa juu ya bodi... Mke wng chukua rav 4, mimi vx naendesha na relax vzr..... Vigari vingine kwa mwanaume ni dharau tu

idadi kubwa ya watanzania si warefu kama wewe na watoa pesa hususani kwenye Michepuko huwa hawaangalii Umbo la Mrembo, wapo warembo warefu sana wamechepuliwa wakaishia kununuliwa hizo gari wanakunja miguu humo humo wanafika kokote watakapo. Watu waliosababisha hili Neno Gari za Kike kusambaa ni wapenda michepuko kutokana na kuwalazimisha michepuko yao kuwanunulia Gari za aina Fulani kiasi cha kupelekea wanawake wengi kuonekana wanazimiliki
 
Waseme za kike za kiume mimi.ndiye nitatafsiri.kuwa hii ya kike au ya kiume.
 
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners

Suzuki = Folks with bad credit.

Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream

Bmw = young guys with good careers

Mercedes = professionals with advancing careers.

Hammer = hustlers, dope sellers

Hondas = folks with regular jobs

Toyotas = same as Hondas

Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream

Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly

Acura = folks with fairly good careers

Vw-Beetle = ladies, milf

Fiat 500 = young ladies

Mini minor = ladies

Mitsubishi = folks with mediocre jobs

Nissan = folks with ok jobs

Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches

Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc

Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms

Ford = folks with ok but not so successful careers

Cadillacs = fairly successful folks

Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream

Range Rover = high rollers

Hyundai = folks with mediocre careers

Bentleys = high rollers mostly from Hollywood
 
Izo gari ulizostaja ndo gari zinazoongoza kwa wanawake wengi kuhongwa na ndo wanawake wengi wako nazo
 
Wewe ni mshamba kabisa, kwani kua la kike ni kosa ama kua la kiume? Msidharau wanawake na mifumo dume yenu. Ukiambiwa la kike kuna shida gani kama ww ni mwanaume?
 
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners

Suzuki = Folks with bad credit.

Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream

Bmw = young guys with good careers

Mercedes = professionals with advancing careers.

Hammer = hustlers, dope sellers

Hondas = folks with regular jobs

Toyotas = same as Hondas

Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream

Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly

Acura = folks with fairly good careers

Vw-Beetle = ladies, milf

Fiat 500 = young ladies

Mini minor = ladies

Mitsubishi = folks with mediocre jobs

Nissan = folks with ok jobs

Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches

Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc

Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms

Ford = folks with ok but not so successful careers

Cadillacs = fairly successful folks

Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream

Range Rover = high rollers

Hyundai = folks with mediocre careers

Bentleys = high rollers mostly from Hollywood

Nerds need to drive high tech cars, and what are mediocre job BTW?

I'm suzuki man but not as you profound
 
Hata mkijitetea vipi hizo garii ni zakike..waachieni dada zenu, wake zenu, mademu zenu na mabint wauza sura..

Madume tunaskuma manual transimision 4x4..

c.red
 
Back
Top Bottom