Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Gari za baby class mm hiyo siendeshi wanaojifunza wakanunue ila Mara nyingi huwa nahonga maana ni gari za bei ndogo sana ndiyo maana mademu wengi wanazimiliki kwa kuhongwa vitu vya maana ni UK, USA na Grmn ukishuka kwa gari daaah hadi rahaa
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:

A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda,Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Socially, kuna magari ya wanaume na wanawake na wala sio magari ya kike wala ya kiume; ila biologically yeyote anaweza kuendesha gari lolote bila kujali kama ni mwanaume ama mwanamke. Nakuuliza swali ili: hivi kuna nguo ya mwanamke na mwanamme? au viatu vya wanawake na wanaume? Kama hakuna nakuomba kuanzia kesho uvae gauni (aha aha aha) kwani si linasitiri mwili, na viatu vya mchuchumio!!!

Wenzio wanaongea kwa mtazamo wa socially; halafu sio kila anayetoa hoja humu ndani physically yuko Tanzania kijana.
 
Gari za baby class mm hiyo siendeshi wanaojifunza wakanunue ila Mara nyingi huwa nahonga maana ni gari za bei ndogo sana ndiyo maana mademu wengi wanazimiliki kwa kuhongwa vitu vya maana ni UK, USA na Grmn ukishuka kwa gari daaah hadi rahaa

Mbona at UK vipo hivyo vya kufanana na Vitz.
 
Wewe ni mshamba kabisa, kwani kua la kike ni kosa ama kua la kiume? Msidharau wanawake na mifumo dume yenu. Ukiambiwa la kike kuna shida gani kama ww ni mwanaume?

Nahisi kama vile unaishi na dadako mwenye hiyo gari tena mbaya zaidi ends ikawa kahongwa au unavaa shanga mbona unatete sana akinadada au ndo unatumwaga nalo kuchukua nguo za bwashe dry cleaner wakati ametoka kupigwa ngabu dadako?gari zimetengenezwa kwa ajili ya kupunguza garama kwa wanaume wahongaji tusipate hasara kubwa ila gari za kiume zinajulikana
 
Real man
 

Attachments

  • 1431100875326.jpg
    1431100875326.jpg
    15.7 KB · Views: 203
nissan murano ya mwaka 2006 inaweza ikawa na bei gani show room

Baba njoo nikupe utembelee ya kwangu hadi ununue ya kwako usinunue gari ya kike kusanya hadi ifike kama dollar 35000 hivi cunajua shilingi imekuwa toilet paper kwa dollar kwa sasa .
 
Kuna 'vigari' mwanaume hutakiwi kuendesha by the way!
 
kwangu mimi naona bora magari makubwa ndo yanamfaa sana mwanaume. je!kuna raha gani kuendesha kigari kidogo alafu kafupi, ukikaa kwenye foleni alafu scania ipo imesimama pembeni yako, ukicheki pembeni tu, unagundua ukubwa wa gari lako ni sawa na tairi la scania; tairi la scania likikata kona kama vile inakuja kwako lazima akili icorrupt muda huohuo.
 
ukishajua ktk jamii kuna classes hakika utakubali ht magari yana jinsia
 
Nahisi kama vile unaishi na dadako mwenye hiyo gari tena mbaya zaidi ends ikawa kahongwa au unavaa shanga mbona unatete sana akinadada au ndo unatumwaga nalo kuchukua nguo za bwashe dry cleaner wakati ametoka kupigwa ngabu dadako?gari zimetengenezwa kwa ajili ya kupunguza garama kwa wanaume wahongaji tusipate hasara kubwa ila gari za kiume zinajulikana

ImageUploadedByJamiiForums1431109264.193419.jpg

Mweee we kula ice cream tu na vumbi la bongo, ungejua nifanyacho na niliko usingethubutu kuandika huu uharo
 
Kuna "la" na "le" kwa kifaransa wakimaanisha jinsi so nenda katazame vitu gani ni kike na vpi ni vya kiume, kwa mujibu wao!
 
Mungu asingeumba mwanamke na shock absorber za ziada wanawake wengi sana tungeugua sononi. Yaani kuwa mwanamke tu ni tusi. Nimeskia hapa pia hakuna magari ya kike wala ya kiume ilimradi kama umetoa hela kununua. Yale yanayogawiwa bure ndo ya kike! loh!
 
Labda yanaonekana ya kike kutokana na smooth handling yake ..kuanzia kuendesha, parking etc..... Mpe mdada land rover manual alafu afanye reverse parking in btn two cars na asiguse pavement utamwonea Huruma
......acha tu ziitwe za kike
 
Back
Top Bottom