Acheni Wivu.

Acheni Wivu.

Mara oooh umejiunga Jana unaandika kama mwenyeji[emoji57][emoji57] . kujichanganya ndiyo mpango mzima.
Eti hujakamilisha hata siku una comment nyingi itakuwa wewe mwenyeji[emoji50][emoji50][emoji50]. Sasa nakuwaje mwenyeji na nimejiunga Jana?
Mara sijui like nyingi[emoji24][emoji24]ndiyo zangu kwani kuna mtu kaibiwa zake?
Hamjui hata kukaribisha wageni, mnamsimanga mgeni hadi Mtu ukiwa na roho nyepesi unaweza kuleft.[emoji24][emoji24][emoji24].
Sasa sileft tunabanana hapa hapa.
Haya usiku mwema[emoji119][emoji119][emoji119]
Hahahaaa mama komaa nao waache kutusumbua..ata sisi ni wahenga sema tulichelewa kujulikana

young kilimanjaro
 
Enjoy mwayaaa[emoji8]
Hata bwana wa maana hakuna ni vichupkunuka tu[emoji86] [emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
Rubii umenitukania mume wangu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Rubii umenitukania mume wangu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
[emoji87] [emoji87] poleee

RubiiKimimi[emoji85]
 
Back
Top Bottom