Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakn umewezaNi ngumu[emoji56][emoji56][emoji56]
UnajidhalilishaNa ww acha ugoro wa mahindi ya kibaigwa
washa penzi kama moto babydoll$connor
Ukiacha ugoro utanielewa dogo, karibu chaiUnajidhalilisha
Mm nakusaidia ila hujajitambua tu dogoUnajidhalilisha
Ila inabidi nae awe na respect kwenu wakongwe
Basi vzr 2020 nataka nichukue jimbo kwimba nataka uwe campaign manager wangumie hata sina cha kupoteza aic nipo huu for fun na "siasa"! basi!
Kila ukianatakaa lazma unataja kilevi chako pendwaUkiacha ugoro utanielewa dogo, karibu chai
washa penzi kama moto babydoll$connor
Basi vzr 2020 nataka nichukue jimbo kwimba nataka uwe campaign manager wangu
Huo ni ulevi wako na mm nataka nikusaidie maana nimeambiwa unatumia ugoro mbichiKila ukianatakaa lazma unataja kilevi chako pendwa
Una experience sana na hayo mambo nenda sober house kigamboni utasaidiwa au pili misanaHuo ni ulevi wako na mm nataka nikusaidie maana nimeambiwa unatumia ugoro mbichi
washa penzi kama moto babydoll$connor
Nimeanza mikakati mda sana ya kumuondoa yule kanjibaihahaha fanya hima baba ! sema kule mh ni miccm tu!
Wewe tulia,[emoji57][emoji57][emoji57]Tatizo nyie wageni mna mambo ya kitoto sana ...mmefanya heshima ya jf kushuka mnoo. Mna anzisha mada za ajabu ajabu tu mradi upate izo likes na comment nyingi.
Angalia kama hii iliyoanzishwa ..upuuzi mtupu tu [emoji3] [emoji3] [emoji3]
(Natania jamani sipo siriyasi.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeanza mikakati mda sana ya kumuondoa yule kanjibai