Acheni Wivu.

Acheni Wivu.

Tatizo nyie wageni mna mambo ya kitoto sana ...mmefanya heshima ya jf kushuka mnoo. Mna anzisha mada za ajabu ajabu tu mradi upate izo likes na comment nyingi.

Angalia kama hii iliyoanzishwa ..upuuzi mtupu tu [emoji3] [emoji3] [emoji3]

(Natania jamani sipo siriyasi.)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni ulevi wako na mm nataka nikusaidie maana nimeambiwa unatumia ugoro mbichi

washa penzi kama moto babydoll$connor
Una experience sana na hayo mambo nenda sober house kigamboni utasaidiwa au pili misana
 
Tatizo nyie wageni mna mambo ya kitoto sana ...mmefanya heshima ya jf kushuka mnoo. Mna anzisha mada za ajabu ajabu tu mradi upate izo likes na comment nyingi.

Angalia kama hii iliyoanzishwa ..upuuzi mtupu tu [emoji3] [emoji3] [emoji3]

(Natania jamani sipo siriyasi.)

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tulia,[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom