Nimekuwa nikifatilia nyimbo mbalimbali za msanii darasa mbona kama ana mpiga madongo magufuli? muziki kuna baadhi ya line unaona kabisa ambaye ako targeted ni nani,c mwingne n magufuli " unataka kukimbia huna break ","uji hutaki chai hutaki " huu wa saiv "achia njia" kuna sehemu ana sema " acha kuchimba watu kachimbe madini", line nyingne " umeshndwa kujenga viwanja ukaenda relini " huu wimbo ni direct kick kwa magu eb usikilize mkuu utanambia,nan ako targeted?