Ashajua ukikuta nyumbani kwako kuna madini, ngeleja na timu yake watakuja, watadai madini ni rasilimali ya taifa. Kisha wamwamishe kwa nguvU kwa kisingizio wanaleta mwekezaji. Na wakimwonea huruma wampe hema la kulala.
Suluhisho ye akaona achimbe mwenyewe mwenyewe humo ndani