Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Hapa ndo unajitafakari mpaka kunakuchamimi natafakari huo umri wa miaka 25 anamiliki mali zaidi ya milion mia mbili wakati mimi nimepanga chumba kimoja na nina miaka 30"s na sijui kesho yangu ni ipi
Unaweza kuta liliungua kweli
We huoni ni basi limebebwa kwene kichanja? I mean semiHilo basi lililounguzwa, lilikuwa na mfumo gani wa matairi, triplet kama semi trailer?
Basi gani la hivyo, au ili mradi wameweka tu picha ya gari lililoungua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi limepakiwa kwa sem hiyo,chunguza vizuri utaielewa hiyo pichasasa hapo kwenye picha mbona linaonekana hakuna diff wala fron axle pia hata viti hakuna
unadhani itakuwa ni rahisi kucheza dili kihivyo?
Insuarance laws masikini hakuzifahamu vizuri😂😂alitegemea akipewa compersation akalipe deni issue imebumaPOLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.
View attachment 1561670
Wewe ndo mtanzania halisi sasa mamaameHuyo mwenye hilo basi,inaonekana alikopa pesa na kwenda kula raha,sasa ataenda kuliwa jicho yeye huko jela.