Achoma gari makusudi baada ya kushindwa kulipa deni la gari hilo

Achoma gari makusudi baada ya kushindwa kulipa deni la gari hilo

mimi natafakari huo umri wa miaka 25 anamiliki mali zaidi ya milion mia mbili wakati mimi nimepanga chumba kimoja na nina miaka 30"s na sijui kesho yangu ni ipi
Hapa ndo unajitafakari mpaka kunakucha
 
Kumbe basi halikuwa na engine wala gear boks hata chases...yan jamaa alivitoa then akapiga kiberiti lile body ,nadhan akitegemea anapata kitu kipya
 
Huyo jamaa na waliopanga huo mchezo hawajielewi.

Gari halina hata engine,chassis,mmeling'oa viti vyote halafu mnalibeba toka garage kwenda kulichoma barabarani ili lionekane lilikuwa safari?😁!

Au maelezo ya Mtafungwa ndo hayana uhalisia? Mbona ni utoto sana.
 
sasa hapo kwenye picha mbona linaonekana hakuna diff wala fron axle pia hata viti hakuna


unadhani itakuwa ni rahisi kucheza dili kihivyo?
Basi limepakiwa kwa sem hiyo,chunguza vizuri utaielewa hiyo picha
 
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.

View attachment 1561670
Insuarance laws masikini hakuzifahamu vizuri😂😂alitegemea akipewa compersation akalipe deni issue imebuma
 
Back
Top Bottom