Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ethics za kazi huko polisi hamna. Hivi na madudu yooote Kingai aliyo fanya akiwa Rco Arusha, Rpc Kinondoni kweli bado ana stahili kuwa kiongozi??ACP Ramadhani Kingai wasalimie Kigoma,uliipenda Kinondoni ila Kinondoni haijkupenda
Wanalindana sana serikalini hakuna wakuwagusa, huyu ni mtoto wa hiari wa mzee Makamba nani atamgusaEthics za kazi huko polisi hamna.
Hivi na madudu yooote Kingai aliyo fanya akiwa Rco Arusha, Rpc Kinondoni kweli bado ana stahili kuwa kiongozi??
Yeye mwenyewe yuko fit. Tanga na Kigoma ngoma drooKapelekwa huko ili akapigwe kipapai na wazee was Ujiji
Jamaa Ni Useless kabisaYeye mwenyewe yuko fit .Tanga na kigoma ngoma droo
Ulitaka afanyeje? Ukitenda ubaya jina lako halifutiki,nilipitia page ya ITV walipost uhamisho wa Kingai, wananchi walimpiga spana za kutosha kisa kesi ya MboweKazi ya kuwa polisi nchi hii ni ngumu sana. Unamlaumu Kingai kwa lipi? La Mbowe? Angefanyaje?
Kapelekwa huko ili akapigwe kipapai na wazee was Ujiji
Ameagwa tu hajalaumiwa.Kazi ya kuwa polisi nchi hii ni ngumu sana. Unamlaumu Kingai kwa lipi? La Mbowe? Angefanyaje?
Kigoma ni Kigoma tu.Sema naona kapanda anaenda kua kamanda mkuu wa polisi kigoma au nilisikia vibaya
Ethics za kazi huko polisi hamna.
Hivi na madudu yooote Kingai aliyo fanya akiwa Rco Arusha, Rpc Kinondoni kweli bado ana stahili kuwa kiongozi??
Sema naona kapanda anaenda kua kamanda mkuu wa polisi kigoma au nilisikia vibaya
Ana zigo la mihirizi kiunoniYeye mwenyewe yuko fit .Tanga na kigoma ngoma droo