Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Bei ya Kioo cha SGR Usipime
==
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Venance Mapala kutoka Polisi Kikosi cha Reli Tanzania, akizungumza kuhusu changamoto na gharama kubwa za uharibifu wa miundombinu ya reli nchini.
"Kioo kimoja cha treni kinagharimu zaidi ya milioni 300, na uharibifu huu unasababisha hasara kubwa kwa serikali na ucheleweshaji wa huduma za usafiri wa reli."
Bei ya Kioo cha SGR Usipime
==
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Venance Mapala kutoka Polisi Kikosi cha Reli Tanzania, akizungumza kuhusu changamoto na gharama kubwa za uharibifu wa miundombinu ya reli nchini.
"Kioo kimoja cha treni kinagharimu zaidi ya milioni 300, na uharibifu huu unasababisha hasara kubwa kwa serikali na ucheleweshaji wa huduma za usafiri wa reli."