AMOXYCILLIN
Member
- Aug 31, 2014
- 17
- 1
nina dogo hataki kwenda chuo anataka kusoma advance lakn tokeo la o-level ana kisw-b, eng-c, na d tatu za geog, histor na civics... Je atafanikiwa kuruhusiwa kufanya mtihan wa form 6??
Nina dogo hataki kwenda chuo anataka kusoma advance lakn tokeo la o-level ana Kisw-B, eng-C, na D tatu za Geog, Histor na Civics... Je atafanikiwa kuruhusiwa kufanya mtihan wa form 6??
matatizo mengine jaribuni kwenda kwenye idara husika humu jf hatuna majibu sahihi kwa asilimia kubwa, be professional my brother for what you do, don't rely on hearsaying.
matatizo mengine jaribuni kwenda kwenye idara husika humu jf hatuna majibu sahihi kwa asilimia kubwa, be professional my brother for what you do, don't rely on hearsaying.
as private candidate unaweza kusoma masomo yoyote unayojickia kusoma kama una sifa za kusajiri mtihani wa kidato cha sita.labda jambo la kuzingatia ni kuwa makini na timetable ya mtihani wa kidato cha sita.ucje kuchukua masomo ambayo kwenye timetable yanapaswa kufanyika muda mmoja.ukisha cheki timetable na kukuta yako separate katika muda ni free kuyachukua.angalia timetable za miaka iliyopita mara nyingi huwa azibadiliki.hayo ndiyo yakwangu.