AMOXYCILLIN
Member
- Aug 31, 2014
- 17
- 1
Natarajia kufanya mtihani wa acsee 2016, kama mtahiniwa wa
kujitegemea; je , naweza kusoma masomo matatu ambayo hayapo kwenye mpangilio wa tahasusi (combination subjects) bila kuathiri matokeo?
Nataka kusoma geography, a/ mathematics na biology.
kujitegemea; je , naweza kusoma masomo matatu ambayo hayapo kwenye mpangilio wa tahasusi (combination subjects) bila kuathiri matokeo?
Nataka kusoma geography, a/ mathematics na biology.