Confirmed;Principal Pass inaanzia C na hii ni kwa mujbu wa Kaimu Katibu Mkuu Necta,,,Ni kwel kwmb TCU kuptia guidbook walistate kwmb princpal inaanza D,lakn mwenye dhamana ya kuamua jambo hil ni Necta na cio Tcu,kwa iyo watakachokfanya tcu ni kurefine ii guidebook km Necta ilivyoinstruct,