ACSEE Principal inaanzia ngapi?

ACSEE Principal inaanzia ngapi?

lelo1

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
583
Reaction score
481
wadau wa elimu za leo??
eti usahishaji mpya wa ACSEE principal inaanzia daraja lipi??
 
ook..so hata wenye 4 wanaweza pangiwa chuo na TCU??

wanapangiwa vyuo coz tcu wanaconvert A to A,B+ to B,B to C,C to D,D to E,E to S, S to F,F to F kwahiyo calculate mwenyewe then jitazame una sifa za kwenda chuo
 
hy nimepata a/c B comm C na economics B...
UD wanaweza kunikubali hapo?!
 
nasikiliza ujue kwahiyo endeleeni na hayo mazungumzo yenu msikae kimya
 
wanapangiwa vyuo coz tcu wanaconvert A to A,B+ to B,B to C,C to D,D to E,E to S, S to F,F to F kwahiyo calculate mwenyewe then jitazame una sifa za kwenda chuo

Hapana Mkuu mbona Necta Walishatoa Mchanganuo Kwamba ili mtu aingie chuo atleast awe na C mbili na D moja...na hyo ndo III-13
 
Hapana Mkuu mbona Necta Walishatoa Mchanganuo Kwamba ili mtu aingie chuo atleast awe na C mbili na D moja...na hyo ndo III-13

Mkuu nenda kwenye kitabu cha tcu ndio wametoa mchanganuo wa muombaji kwahiyo wenyewe wanasema kwa new grading A-D principal passes......wanasema convert kama nilivyokuonyesha hapo juu tcu ndio wenye dhamana ya kupangia watu chuo sio necta
 
Confirmed;Principal Pass inaanzia C na hii ni kwa mujbu wa Kaimu Katibu Mkuu Necta,,,Ni kwel kwmb TCU kuptia guidbook walistate kwmb princpal inaanza D,lakn mwenye dhamana ya kuamua jambo hil ni Necta na cio Tcu,kwa iyo watakachokfanya tcu ni kurefine ii guidebook km Necta ilivyoinstruct,
 
Confirmed;Principal Pass inaanzia C na hii ni kwa mujbu wa Kaimu Katibu Mkuu Necta,,,Ni kwel kwmb TCU kuptia guidbook walistate kwmb princpal inaanza D,lakn mwenye dhamana ya kuamua jambo hil ni Necta na cio Tcu,kwa iyo watakachokfanya tcu ni kurefine ii guidebook km Necta ilivyoinstruct,

Na hiyo C ndo kusema inakuwa na point 1? then A inakuwa na 4?!! hakuna kitu kama icho.
 
Back
Top Bottom