Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
HahaaaahaaaaaHilo baraza la kuongoza nchi ya wapi.
Hakuna Haja ya kuwasaidia watu mbumbumbu,kila mmoja anatafuta maslahi binafsi.Tulitegemea miaka 5 wangeboresha ummoja wao.Msajili wa vyama vya siasa alishasema kuwa muda wa kuungana umeshapita na kwa sasa haiwezekani....
Tunahukuru Mwnyekiti chadema amepunguza kelele za Lisu pale aliposema na yey anagombea urais kuanzia hapo Lisu kimya kwani alishaona yeye ni mgombea urais wa Ukawa na michango akaanzisha na hotuba kwa taifa vituko vya LisuHilo baraza la kuongoza nchi ya wapi.
Huo ni upumbavu kama upumbavu mwingine, kwani wakiwaambia wapiga kura wao kupigia mgombea mmoja watakuwa hawajaungana?Msajili wa vyama vya siasa alishasema kuwa muda wa kuungana umeshapita na kwa sasa haiwezekani....