Hilo ni jina la uvamiziNini maana ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ikiwa kuna sehemu ndani ya nchi haina mamlaka!?
Mbona walishaongoza na huyu aliyepo piaIla Raia wa Tanganyika kamwe hataongoza Zanzibar 🤣
Ndio kabisa kwa ukaribu wa coastline ya bara na Zanzibar, bara wana strong claim ya kisiwa kushinda Zanzibar.mkuu kwani Fungu Mbaraka ni bahari? sisi tunazungumza kisiwa wewe unaleta refrence ya Ocean
Zanzibar dawa yenu inakuja soon
Wabara mna nini nyie?Zanzibar wana shida ya ulafi na uroho.
Waanze kwanza kuipigia kelele Mnemba wakimaliza waje kwenye hicho kisiwaKutokea Tanganyika hadi fungubaraka ni km7 hadi nane hivo wao kutokea Tanganyika wako km42 wanatakiwa wapige hesabu halafu watulie ,
Mafuta na gesi ni moja ya mambo ya Muungano?Nini maana ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ikiwa kuna sehemu ndani ya nchi haina mamlaka!?
Ndio kabisa kwa ukaribu wa coastline ya bara na Zanzibar, bara wana strong claim ya kisiwa kushinda Zanzibar.
Halafu wazanzibari mnafurahisha sana hivi unadhani kuna mtu atakują kujenga refinery ya LNG tena Zanzibar, wakati bara inajengwa.
Hiki ndio kitakachotokea hata sehemu za Zanzibar zikibainika zina commercial wells, refinery inatafanyika bara, serikali ya bara itawatoza hela kwa sababu mafuta sio maswala ya muungano.
Sasa kwa akili zenu huko mbele mtasema sisi nchi moja kwanini mtutoze kutumia refinery baada ya kuona mapato mtakayopata ni kiduchu.
Akili za viongozi wa ACT ni fupi sana, akitokea mtu wa kuuvunja huo muungano ndio akili zao zitakaa sawa.
Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano".Mkuu usitafune maneno, Fungu mbaraka ni ya Zanzibar au Tanganyika? tupe jibu
Huu muungano kwa sasa upo kisiasa lakini naona hapa kuna nchi mbili tofauti, Bora katiba ya serikali tatu ingepitishwa tu ili ziwepo mali za watanganyika na wazanzibari na mali za wote, na sio wazanzibari wana vya kwao halafu vyetu huku bara mali zetu ziwe za wote hii haiko sawaNini maana ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ikiwa kuna sehemu ndani ya nchi haina mamlaka!?
Ndio kabisa kwa ukaribu wa coastline ya bara na Zanzibar, bara wana strong claim ya kisiwa kushinda Zanzibar.
Halafu wazanzibari mnafurahisha sana hivi unadhani kuna mtu atakują kujenga refinery ya LNG tena Zanzibar, wakati bara inajengwa.
Hiki ndio kitakachotokea hata sehemu za Zanzibar zikibainika zina commercial wells, refinery inatafanyika bara, serikali ya bara itawatoza hela kwa sababu mafuta sio maswala ya muungano.
Sasa kwa akili zenu huko mbele mtasema sisi nchi moja kwanini mtutoze kutumia refinery baada ya kuona mapato mtakayopata ni kiduchu.
Akili za viongozi wa ACT ni fupi sana, akitokea mtu wa kuuvunja huo muungano ndio akili zao zitakaa sawa.
Kuiba nayo si inataka mapato, kitu pekee nje ya utalii itakuwa kuruhusu wachina kwenda kuvua samaki...vigogo walioko katika mamlaka hawataathirika bila kujali muungano upo, au haupo.
..tena inawezekana uwepo wa muungano unawanyima nafasi ya kuiba na kufisadi vya kutosha.
Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano".
Ibara ya pili ya katiba ya JMT inasema
2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
Hivyo Zanzibar haina eneo, haina mipaka, Fungu Mbaraka ni eneo la JMT.
P
Kuiba nayo si inataka mapato, kitu pekee nje ya utalii itakuwa kuruhusu wachina kwenda kuvua samaki.
Vinginevyo hamna kitu zaidi ya hadithi za kuombea kuwa ‘safe heaven’ ya wakwepa kodi; Bahamas ni karibu na US ndio maana watu wanafungua makampuni hewa huko. Zanzibar ni mbali sana.
OMO ana nadharia za ajabu sana kichwani kwake, kesho utasikia refinery iajiri theluthi moja wa Zanzibar.
Ni watu ambao predictable (me, me, me).
Nadhani huko mbele wakileta za kuleta huo muungano utavunjwa hata wabara washaanza kuchoka...wazanzibar wana haki ya kujitetea, na kujinufaisha, ndani ya muungano.
..watanganyika tujilaumu wenyewe kwa kushindwa kutetea haki na maslahi yetu
Tanganyika haipo!.Sijazungumzia JMT nimezungumzia Tanganyika mkuu
Tena akina OMO wamepata nguvu kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.Kuiba nayo si inataka mapato, kitu pekee nje ya utalii itakuwa kuruhusu wachina kwenda kuvua samaki.
Vinginevyo hamna kitu zaidi ya hadithi za kuombea kuwa ‘safe haven’ ya wakwepa kodi; kama Bahamas ambayo ni karibu na US ndio maana watu wanafungua makampuni hewa huko. Zanzibar ni mbali sana.
OMO ana nadharia za ajabu sana kichwani kwake, kesho utasikia refinery iajiri theluthi moja wa Zanzibar.
Ni watu ambao predictable (me, me, me).
Wazee wenye sentiments za muungano upande wa bara wapo lala salama.Tena akina OMO wamepata nguvu kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.
Wanamtaka Rais Samia asiruhusu kuingilia mambo yao ya mafuta na gesi tu, mengine apeleke huko kama ilivyo sasa
Rasilimali za Tanganyika ni za wote tena zikitumika Zanzibar kuliko eneo jingine lolote la Tanganyika.
Chochote cha Tanganyika kwa jina la Tanzania ni chao pia, lakini chao ni chao.
Sioni tatizo wakipigania rasilimali zao, tunachohitaji ni Tanganyika ili isimamie masilahi yake.
Kama kuna ulazima tuwe na muungano! kama Wazaznibar wanataka maana Mtanganyika hana cha kupoteza !