ACT: Wagombea wetu hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko, tunamtaka Waziri wa TAMISEMI awarejeshe

ACT: Wagombea wetu hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko, tunamtaka Waziri wa TAMISEMI awarejeshe

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
TAMKO KUENGULIWA WAGOMBEA FN_page-0001.jpg


TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
 
Taarifa thaifu. Wao wenyewe mbona hawatoi ushahidi kwamba wagombea wao wameenguliwa?
 
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
Sasa nyie SI mnamuunga mkono juhudi za mama?
 
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
Nyie ACT si ndio mlikuwa MASHOSTINGA wa CCM, mmeunda na Serikali ya umoja wa kitaifa!!

Mkajiona sehemu ya serikali 😀😀

CCM ni kama Shetani/Ibilisi ,aliwadanganya na sasa mnaona rangi halishibya SHETANI CCM wa UMOJA WA KITAIFA......Upande wa Zanzibar hawan time, anayeongoza nchi ni mzanzibari mwenzao ndo maana wamepoa!! Hii ndiyo CCM.

Hakuna Cha Four R, ni mwendo wa UBAYA UBWELA 🤣🤣🤣🤣😀😀😀
 
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
Mandela alisema "KABURU lugha anayoielewa ni Bunduki" wakaanza na Spear of the nation, military wing kwa kizuru Umkhotto We Sinzwe.

CCM wataelewa ikimwagika damu ya kutosha, lakini tutakuwa tumechelewa na tutakuwa tumeikosa Tanzania.

Namlaumu sana VENANCE MABEYO.......waliotaka kuchezea katiba walikuwa sahihi, nyuma yalikuwa maslahi mapana ya TAIFA,

Namshangaa kwanini yeye kama mtu wa kada ya ulinzi na usalama, alishindwa ku fore see, lay man wanasiasa waliona hatari na ubaya wa kuwa chini ya Mama Abdul.

Tuiombee nchi yetu,Mungu aingilie kati.

Damu ya Kibao na wengine wote waliotekwa na iwe juu ya Mama Abdul na watoto wake Wanu na Abdul.😭😭😭
 
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 1
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
View attachment 3147650

TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea kupokea taarifa zinazoonesha wagombea wetu mbalimbali Nchini hawajateuliwa kwa sababu zisizo na mashiko kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi. Mchakato huu wa kuwatengua wagombea unakwenda kinyume na misingi ya haki, uwazi na usawa wa kidemokrasia. Maeneo mengi ambayo wagombea wetu wameenguliwa na sababu ambazo zimerudiwa ni pamoja na;

1. Kutokujaza fomu kwa ukamilifu bila kuelezea kwa undani ukamilifu huo kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

2. Wagombea kutenguliwa kwa madai ya kwamba wao si wakazi wa maeneo wanayotaka kugombea. Madai haya yametolewa bila ushahidi wa kutosha.

3. Wagombea kuenguliwa kwa madai ya kukosa kazi bila ushahidi wa kisheria wa kuthibitisha madai hayo.

Jana katika taarifa yetu tulimthahadharisha Waziri wa TAMISEMI Ndugu Mohamed Mchengerwa juu ya kuwepo hujuma na hila zinazopangwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kama viashiria vya kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Tunatoa wito ufuatao;

1. Tunamtaka Waziri wa TAMISEMI kama mamlaka ya mwisho ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuwarejesha wagombea wote wa ACT Wazalendo ambao wamekatwa katika mchakato wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kwa TAMISEMI kuhakikisha kuwa wagombea wanatendewa haki ili kila mgombea mwenye sifa apate nafasi ya kugombea na kuchaguliwa kwa misingi ya kanuni.

2. Tumetoa maelekezo kwa wagombea wetu wote walienguliwa kukata rufaa kwa mujibu wa kanuni na muongozo wa Uchaguzi dhidi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi nchini.

Rahma Mwita,
Msemaji wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ACT Wazalendo.
8 Novemba 2024
Ni muhimu sana kuzingatia masharti, Sheria na katiba ya nchi katika mambo hayo.

Makosa binafsi ya mgombea katika ujazaji wa fomu hayawezi kuwafanya wasimamizi wa uchaguzi kuvunja sheria.

wasio stahili kugombea uongozi kwa sababu yoyote ili ya kiutaratibu, kisheria au kikatiba aenguliwe mara moja.

Kumbuka,
uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ni Nov 27 na kampeni zitaanza rasmi Nov.20🐒
 
Ni muhimu sana kuzingatia masharti, Sheria na katiba ya nchi katika mambo hayo.

Makosa binafsi ya mgombea katika ujazaji wa fomu hayawezi kuwafanya wasimamizi wa uchaguzi kuvunja sheria.

wasio stahili kugombea uongozi kwa sababu yoyote ili ya kiutaratibu, kisheria au kikatiba aenguliwe mara moja.

Kumbuka,
uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ni Nov 27 na kampeni zitaanza rasmi Nov.20🐒
Unajielewa wewe POPOMA??
Au akili zako bado zipo kwenye MNERO??/MCHAZA waulize wangoni na wandendeule maana ya hayo maneno.🤣😀🤣😀
 
Unajielewa wewe POPOMA??
Au akili zako bado zipo kwenye MNERO??/MCHAZA waulize wangoni na wandendeule maana ya hayo maneno.🤣😀🤣😀
Unajielewa wewe POPOMA??
Au akili zako bado zipo kwenye MNERO??/MCHAZA waulize wangoni na wandendeule maana ya hayo maneno.🤣😀🤣😀
bila mihemko wala mbambamba yoyote, walioenguliwa na wenye pingamizi leo ndio mwisho wa yote..

vinginevyo,
ni muhimu hekima na busara ziwaelekeze chaguzi za miaka ijayo tena but Sheria na katiba ya nchi haiwezi kuvunjwa kuwasababu ya wewe kukosa sifa vigezo na masharti ya Uchaguzi kisheria kugombea.

Uchaguzi huru, wa haki na uwazi utafanyika November 27 friends, ladies and gentlemen 🐒
 
bila mihemko wala mbambamba yoyote, walioenguliwa na wenye pingamizi leo ndio mwisho wa yote..

vinginevyo,
ni muhimu hekima na busara ziwaelekeze chaguzi za miaka ijayo tena but Sheria na katiba ya nchi haiwezi kuvunjwa kuwasababu ya wewe kukosa sifa vigezo na masharti ya Uchaguzi kisheria kugombea.

Uchaguzi huru, wa haki na uwazi utafanyika November 27 friends, ladies and gentlemen 🐒
Wewe ni mgeni hapa TZ???
🤔🤔🤔
 
Wewe ni mgeni hapa TZ???
🤔🤔🤔
kuna mambo ambayo ni ya kisheria na kikatiba, hata uwe na mihemko au ghadhabu zaidi ya nyumbu utaishia kutafunwa na simba tu.

hekima na busara zilipaswa kuwajulisha ACT kwamba makosa na dosari katika ujazaji wa fomu za kugombea uongozi yangewaletea changamoto za kisheria kama hizi mwishowe 🐒
 
Kwa kweli sikuyatarajia kabisa haya yanayofanyika, nasikitika sana.
Mungu aninusuru kuwa na roho za ajabu za hawa mbwa mwitu waliovishwa umbo la kibinadamu eti kisa tu madaraka!
 
Waziri gani? Mkwe wa Samia?? Acheni vituko nyie wapinzani njaa!

Nyie ndio mlikuwa vimbelembele kwenda kwenye maridhiano, mmemsaidia Samia kujisafisha na kuhalalisha haramu. Fungeni mabakuli yenu.

Hata Mbowe asiseme kitu, atulie tulii ndumilakuwili yule.
 
Waziri gani? Mkwe wa Samia?? Acheni vituko nyie wapinzani njaa!

Nyie ndio mlikuwa vimbelembele kwenda kwenye maridhiano, mmemsaidia Samia kujisafisha na kuhalalisha haramu. Fungeni mabakuli yenu.

Hata Mbowe asiseme kitu, atulie tulii ndumilakuwili yule.
 

Attachments

  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
Back
Top Bottom