Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
"CCM imetufika pabaya leo watumishi wa umma wanashindana kujikweza ndio maana badala ya kuzalisha taifa la watalaam leo tuna taifa la 'chawa' na sasa hivi wamepita uchawa wamekuwa mende maana angalau chama akikaa kichwani ukinyoa nywele hadithi imekwisha, mende wanaingia kwenye vyoo wanaleta uchafu ndani ya nyumba na maradhi, mmesikia wapi duniani nchi ya kistaarabu ikiwa ina watumishi machawa,"
Othman Masoud Othaman Mwenyekiti wa ACT Wazalendo- Taifa alipokuwa kwenye ziara ya siku mbili kisiwani Mafia.
"CCM imetufika pabaya leo watumishi wa umma wanashindana kujikweza ndio maana badala ya kuzalisha taifa la watalaam leo tuna taifa la 'chawa' na sasa hivi wamepita uchawa wamekuwa mende maana angalau chama akikaa kichwani ukinyoa nywele hadithi imekwisha, mende wanaingia kwenye vyoo wanaleta uchafu ndani ya nyumba na maradhi, mmesikia wapi duniani nchi ya kistaarabu ikiwa ina watumishi machawa,"
Othman Masoud Othaman Mwenyekiti wa ACT Wazalendo- Taifa alipokuwa kwenye ziara ya siku mbili kisiwani Mafia.