Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nasikia hata Amani Karume huko twitter baada kusikia Pemba wameshinda majimbo yote akaandika kuwa haiwezekani 😀Allah alete wepesi inshallah, ameen. Sijuwi ni kwa faida ya nani, ushindi wa asilimia +70. Sidhani kama akili zilikuwa zikicharge waliopanga hayo matokeo. Maana hii ni sawa na hakukua na ushindani wowote, ndio maana ya kushinda kiasi hicho.
Salimin Amour alikuwa ndio mgombea ambae angalau alikuwa na watu wakipemda Zanzibar. Basi hakufikia hata asilimia 50, akabakia kubirua nambari. Sasa huyu kashinda asilimia zaidi ya 70! Taire!
Natoa 99.99% wewe sio mzanzibari, msiniulize kwaniniAcha watandikwe.kama vipi waame nchi wakaishi kwengine atuwataki.
Naunga mkono hojaNatoa 99.99% wewe sio mzanzibari, msiniulize kwanini
OK.Acha wapigwe tu hakuna jinsi.
Siku yakikufikaAcha watandikwe.kama vipi waame nchi wakaishi kwengine atuwataki.
[emoji849][emoji849] mtwara wanakusubiri mkuuAcha wapigwe tu hakuna jinsi.
Anajukikana yupo kinyume na muunganoNasikia hata Amani Karume huko twitter baada kusikia Pemba wameshinda majimbo yote akaandika kuwa haiwezekani 😀
Ntapambana tu,akuna namna.Siku yakikufika
Mann! Kwani kaanza leo? Huo ni muendelezo tu. Huyu ashitakiwe akishamaliza muda wake...hata km itachukua miaka 20 katiba ikibadilika ila ashitakiwe tu...Nimesikia hii pia, hii laana itamtafuna Magufuli na GENGE lake milele. Mungu ni wetu sote.