Zanzibar 2020 ACT Wazalendo: Ismail Jussa apigwa vibaya na vikosi vya usalama Zanzibar na sasa yuko hospitali ya Makao Makuu Polisi Zanzibar

Zanzibar 2020 ACT Wazalendo: Ismail Jussa apigwa vibaya na vikosi vya usalama Zanzibar na sasa yuko hospitali ya Makao Makuu Polisi Zanzibar

Kuna kisingizio maarufu... "muungano utalindwa kwa gharama yoyote... mapinduzi daima!!" Pasi kumwaga damu za wazenji na kuwakandamiza watawala wanaamini zenjibari haitawaliki.
Damu za wahanga wanaouliwa hazitawaacha salama wauwaji
Mauaji ya makusudi kwa kweli siyaungi mkono hata kidogo.
Mungu amsaidie Jussa afya njema na uponyaji.
 
Mauaji ya makusudi kwa kweli siyaungi mkono hata kidogo.
Mungu amsaidie Jussa afya njema na uponyaji.
Ameen. Ila nasi tujiombee sana maana ukiona mwenzio ananyolewa usidhani u salama.
si ajabu ile "operesheni panda gari...." ikarejea kwa kasi..
Yetu macho...
 
Orodha ya watuwatakaofiikishwa International Criminal Court (ICC) ishakuwa drafted. Wacha waendelee tu na unyama wao hatma yao haipo mbali.
Unamtisha nani? Hiyo ICC haina meno tena au bado mna msikiliza Lissu! Kumbuka alianza na MIGA!
 
Na sasa ankwenda kuwa makamu wa pili wa raisi na wale askari walompa midoso watamsalute na kumlinda. Dunia ni 🔁.
 
Sikuwa na taarifa kuwa mpambanaji na kiongoxi wa ACT Bw.Jusa alipata matatizo na kusababisha atumie kiti mwendo!
Nini kilimpata huyu kiongozi!
 
Maalim marehemu ambaye tunaimba sifa zake leo huku akiwa hai tulimfunga na kumpiga mabomu
 
Kama marehemu Maalim amemuidhinisha, atakuwa makamu wa kwanza wa rais. Or else itakuwa ushindani ndani ya chama
 
Nakumbuka jinsi Lowassa alivyomtaka sana huyi mwamba awe mgombea mwenza 2015..... Ikaonekana siasa zake ni purely dedicated kwa zenji.

Hta baada ya potential yake kuonekana bunge la katiba (Kamati ndogo ya kanuni) bado alitaka kuwa mwakilishi na sio mbunge wa JMT.

Ni wakati sasa dedication yake itambuliwe kwa kupewa hiyo vacancy namuona ni perfect candidate kuelekea 2025 na ustawi wa Zanzibar yenye vision mpya.
 
Back
Top Bottom