Amesikika Abdul Nondo katika kipindi cha Medani za Siasa Star TV kwa niaba ya ACT, kwamba hata wao wanataka mno katiba mpya.
Pamoja na tofauti zilizopo yumkini Chadema au NCCR au CUF na ACT wanaweza kufikia hatima inayoweza kutuletea sote raha.
Ikumbukwe umoja ni nguvu. Bila kusahau adui yetu anayo furaha mno tunapokuwa tukiparurana wenyewe kwa wenyewe. Sembuse hata pasipokuwa na sababu?
Kwanini Mwamba (au Lissu) na Zitto kwenye mazungumzo one to one (bila ya mashabiki) liwashinde hili?
Kwanini Mbatia, Zitto au Lipumba na Zitto one to one ushabiki pembeni lisiwezekane hili?
Kwanini pasipatikane hata viongozi wa dini ku mediate hili?
Katiba Mpya mbona ipo na tukitaka inapatikana ndani ya muda tunaotaka sisi?
Kwanini karuhusu tofauti zetu ndogo ndogo kutupiga upofu kiasi hiki?
Enyi vyama vya siasa hebu tutendeeni haki sisi wananchi kwa kuweka tofauti zenu pembeni.
Tunataka Katiba mpya sasa na tunajua CCM (kwa sababu zilizo wazi) hawana nia njema kwenye hili.
Source:
Pamoja na tofauti zilizopo yumkini Chadema au NCCR au CUF na ACT wanaweza kufikia hatima inayoweza kutuletea sote raha.
Ikumbukwe umoja ni nguvu. Bila kusahau adui yetu anayo furaha mno tunapokuwa tukiparurana wenyewe kwa wenyewe. Sembuse hata pasipokuwa na sababu?
Kwanini Mwamba (au Lissu) na Zitto kwenye mazungumzo one to one (bila ya mashabiki) liwashinde hili?
Kwanini Mbatia, Zitto au Lipumba na Zitto one to one ushabiki pembeni lisiwezekane hili?
Kwanini pasipatikane hata viongozi wa dini ku mediate hili?
Katiba Mpya mbona ipo na tukitaka inapatikana ndani ya muda tunaotaka sisi?
Kwanini karuhusu tofauti zetu ndogo ndogo kutupiga upofu kiasi hiki?
Enyi vyama vya siasa hebu tutendeeni haki sisi wananchi kwa kuweka tofauti zenu pembeni.
Tunataka Katiba mpya sasa na tunajua CCM (kwa sababu zilizo wazi) hawana nia njema kwenye hili.
Source: