ACT ni chama cha kipekee Tanzania kilicho mstari wa mbele katika kuonyesha nia na njia ya kutumika katika Siasa za nyakati hizi, nazo ni kupinga Sera na kutoa mbadala wa Sera.
Lakini kwa hili la Katiba walichemsha pale walipotaka kuonyesha unyenyekevu katika swala hili kwa kudai "Tume huru kwanza" Waligwaya hapo.
Sasa wamekurupushwa na wanaanza'flip flop'
Nawasii wajiepushe na siasa hizo.
Katiba mpya tu, hakuna cha marekebisho.
Haitawezekana kwa sababu kila mmoja anaendeshwa na tamaa binafsi ya Shekeli.
Kila mmoja ana hoja yake binafsi mfukoni kwa maslahi yake binafsi.
Hata huko kwa viongozi wa Dini.
Baadhi yao sio wasafi ki-viile.
Nguvu na tamaa ya shekeli inayowasumbua wanasiasa ndio hiyohiyo inayowasumbua viongozi wa Dini hadi kupelekea kutimuana makanisani na kucharazana viboko misikitini.
Kila mmoja anaihitaji katiba mpya kwa maoni ya upenyo wake binafsi anaouwaza kumtoa huko mbeleni.
Haitawezekana kwa sababu kila mmoja anaendeshwa na tamaa binafsi ya Shekeli.
Kila mmoja ana hoja yake binafsi mfukoni kwa maslahi yake binafsi.
Hata huko kwa viongozi wa Dini.
Baadhi yao sio wasafi ki-viile.
Nguvu na tamaa ya shekeli inayowasumbua wanasiasa ndio hiyohiyo inayowasumbua viongozi wa Dini hadi kupelekea kutimuana makanisani na kucharazana viboko misikitini.
Kila mmoja anaihitaji katiba mpya kwa maoni ya upenyo wake binafsi anaouwaza kumtoa huko mbeleni.
ACT ni chama cha kipekee Tanzania kilicho mstari wa mbele katika kuonyesha nia na njia ya kutumika katika Siasa za nyakati hizi, nazo ni kupinga Sera na kutoa mbadala wa Sera.
Lakini kwa hili la Katiba walichemsha pale walipotaka kuonyesha unyenyekevu katika swala hili kwa kudai "Tume huru kwanza" Waligwaya hapo.
Sasa wamekurupushwa na wanaanza'flip flop'
Nawasii wajiepushe na siasa hizo.
Katiba mpya tu, hakuna cha marekebisho.
jamani ni bora kulalamikia nini kiingizwe katika katiba mpya kuliko kudai katiba mpya bila kujua nini kiingizwe hukko. nini haswa kero zetu zikiingizwa katika katiba tuu basi homa itapungua na tunaweza kurudi dancini? mwisho wa siku utaambiwa na mwenyekiti wa kukusanya maoni ya kuwa , watu wengi wanataka serikali ya tanganyika na kuwe na sekali tatu. lakini huambiwi yale mazuri ya kukomesha rushwa ambayo INdia, Isreal na Brazil wameyaweka ktk katiba zao. wewe unadhani serikali tatu au tanganyika ikirudi bila ya kufuta kipengere cha kinga ya kushakiwa raisi, kilio chako cha uzembe na rushwa kwa wadhamini kitapungua? lets us grow up and wise up!
jamani ni bora kulalamikia nini kiingizwe katika katiba mpya kuliko kudai katiba mpya bila kujua nini kiingizwe hukko. nini haswa kero zetu zikiingizwa katika katiba tuu basi homa itapungua na tunaweza kurudi dancini? mwisho wa siku utaambiwa na mwenyekiti wa kukusanya maoni ya kuwa , watu wengi wanataka serikali ya tanganyika na kuwe na sekali tatu. lakini huambiwi yale mazuri ya kukomesha rushwa ambayo INdia, Isreal na Brazil wameyaweka ktk katiba zao. wewe unadhani serikali tatu au tanganyika ikirudi bila ya kufuta kipengere cha kinga ya kushakiwa raisi, kilio chako cha uzembe na rushwa kwa wadhamini kitapungua? lets us grow up and wise up!
Hakuna Mwanasiasa au kikundi cha kisiasa Bongo chenye mikakati na ujanja wa kushinikiza Serikali kuwa na Katiba mpya kabla ya 2030
Ukiona Kelele zote za katiba ya sasa kuwa haifai ukifuatilia utagundua hayo 'mapungufu' ni kwmy maeneo ya madaraka madaraka na vyeo vyeo tu hakuna lolote la msingi hasa linalohitaji Katiba mpya